Msikilize Mbwiga wa Mei 14 hapa.
Huu mtekenyo wa Mbwiga wa Mbiwguke leo umekumbuka mechi iliyochezwa kati ya Yanga na Maji Maji na Songea Mbwiga kataja list ya timu hizo pamoja na matokeo yaliyotokea pamoja na…
Maneno ya mastaa 12 wa bongo na Kenya baada ya Diamond kuchaguliwa tuzo za BET 2014
Mastaa wengine waliotoa yao ya moyoni ni pamoja na mpenzi wake Diamond... Wema Sepetu, Ay, Young D, Salama Jabir, Madee na wengine akiwemo Belle 9 alieandika >>> 'kwa hatua hii…
Ni Diamond tena… sasa hivi amechaguliwa kwenye hizi tuzo za BET Marekani.
Ilikua stori kubwa pale Diamond Platnumz alipotangazwa kushiriki kwenye tuzo za MTV Base (Mama Awards) kikiwa ni kituo kingine kikubwa cha burudani Afrika. Leo hii Diamond Platnumz ameingia kwenye stori…
Mabibi na mabwana… single ya @Victoria_Kimani ft. Diamond na Ommy Dimpoz imetoka
Headlines zake sio nyingi sana Afrika Mashariki ila zimekua na uzito kila zinapotoka ambapo this time kaachia single yake ft. Diamond Platnumz na Ommy Dimpoz. Victoria Kimani atapita hapa usiku…
Video ya tangazo jipya la Rooney ambalo hata ukipaki basi ni shidaah!
Mtindo wa kupaki basi ikimaanisha kwamba kulinda goli kwa wachezaji wengi ambao umetumiwa na kocha Jose Mourinho na timu yake ya Chelsea ulichukua headlines sana mpaka akawa analalamikiwa na baadhi…
Post ya Aunt Ezekiel kuhusu homa ya Dengue.
Kasi ya maambukizi ya ugonjwa wa Dengue ambao unamiliki headlines sasa hivi Tanzania hasahasa Dar es salaam imesababisha baadhi ya watu wakiwemo mastaakubadilisha hata aina ya mavazi kama ilivyoshauriwa ili…
Kiasi cha pesa walicholipa TMZ kununua ile video ya Jay Z akipigwa na Solange kwenye lift.
Video maarufu sana kwenye internet hivi sasa ni ya Jay Z akishambuliwa na shameji yake Solange ambayo tangu mtandao wa TMZ waipost May 12 imeshaangaliwa zaidi ya mara milioni 9.…
Umesikia sababu iliyosababisha Kalapina kumuacha Mkewe,sikiliza kupitia You Heard ya leo.
Miongoni mwa ndoa za mastar ambazo zimetajwa kufungwa kimya kimya ni pamoja na ndoa ya Kalapina ambayo imejaaliwa kupata mtoto mmoja,ndoa hii inasemekana imevunjika kimya kimya kama ilivyofungwa na hapa…
Sikiliza jinsi mtoto aliyefariki alivyokuwa akiwatokea watu wake wa karibu?kupitia Hekaheka ya leo.
Baadhi ya vitu ambavyo ukivisikia unaweza kushtushwa pengine isiwe ukubwa wa taarifa hiyo lakini mazingira ya tukio ndiyo yanaweza kukushangaza,unaposikia mtu amefariki halafu akaenda kwa Mganga kisha akaambiwa kuwa mtu…
Kuhusu mlipuko uliotokea kwenye mgodi wa Magharibi mwa Uturuki na kuua watu zaidi ya 100.
Kumetokea Mlipuko katika mgodi wa makaa ya mawe magharibi mwa Uturuki ambao umesababisha vifo vya zaidi ya wachimbaji migodi 200 na kujeruhi wengine wengi kujeruhiwa kwa mujibu wa maafisa nchini…