Kuhusu mlipuko uliotokea kwenye mgodi wa Magharibi mwa Uturuki na kuua watu zaidi ya 100.
Kumetokea Mlipuko katika mgodi wa makaa ya mawe magharibi mwa Uturuki ambao umesababisha vifo vya zaidi ya wachimbaji migodi 200 na kujeruhi wengine wengi kujeruhiwa kwa mujibu wa maafisa nchini…
Kurasa za mwanzo na mwisho Magazetini leo Mei 14 2014
Ni utaratibu wa millardayo.com kukupatia stori kubwa za Magazeti ya Tanzania kila siku kabla ya saa mbili kamili asubuhi... ili nikutumie kila stori inayonifikia unaweza kujiunga na mimi twitter kwa…
Iongezee na hii kwenye playlist yako ya South Africa.
Muziki wa Afrika Kusini ni sehemu nyingine ya burudani inayomiliki playlist za nchi mbalimbali za Afrika ikiwemo Tanzania ambako harusi/sherehe nyingi bila kugusa nyimbo flani za harusi bado haijanoga. Kwenye…
Faini aliyotozwa yule mmiliki wa lile gari lililohusika na mlipuko wa Al shabaab Kenya.
Mmiliki wa gari lililolipuliwa na watuhumiwa wa kundi la Al Shabaab ameachiwa huru baada ya kutozwa faini ya shilingi milioni zaidi ya 18 za Kitanzania. Ahmed Dugal Ali ameshtakiwa kwa…
Mwenye asili ya Kenya anaetegemewa kucheza kombe la dunia 2014
Mshambuliaji Divock Origi ambaye ni mtoto wa aliyekua mchezaji wa timu ya harambee stars ya Kenya Mike Okoth ametajwa kwenye ikosi cha wachezaji 24 watakaoiwakilisha Ubelgiji katika mechi za kombe la Dunia…
Unamkumbuka jamaa aliyekuwa mkalimani kwenye msiba wa Mandela?kapata dili hii.
Ni jamaa ambaye dunia ilimtambua kwenye mazishi ya Hayati Mzee Nelson Mandela mwaka jana ambaye kazi yake ilikua ni kutafsiri lugha za ishara ambaye baadae aliinga kwa headline na vyombo…
Kingine kutoka kwa Wema Sepetu,sikiliza kupitia You heard ya leo Mei 13.
Kuna story mpya ambayo imetoka kupitia You heard ya leo na hii inamhusu Wema Sepetu,inasemekana kuwa ameshindwa kutoa gari lake ambalo lipo Garage kwa zaidi ya wiki moja na taarifa…
Single mpya ya Nikki wa II ft G Nako na Ben Pol ‘sitaki kazi’ imetoka, isikilize hapa
Single ya mwisho Nikki wa II kuitoa kama solo artist kutoka WEUSI ni 'nje ya box' ambayo ndio imempa tuzo moja ya KTMA 2014 kama wimbo bora wa hiphop 2013....…
Baada ya stori za Kipre Tchetche kwenda Yanga, Azam FC wamesema hivi
Karibia magazeti yote ya michezo leo hii yameripoti taarifa za mchezaji wa kimataifa wa Ivory Coast anayekipiga Azam FC kuwa mbioni kwenda Yanga taarifa ambazo zilijibiwa saa chache na Azam…
Sikiliza wimbo mpya wa Black Rhyno aliomshirikisha Albert Mangwea – Lookie Lookie.
Teknolijia bado inatumika hapa kashirikishwa Albert Mangwea inawezekana wimbo wa zamani ila umechelewa kutoka,ni wimbo wa Black Rhyno kamshirikisha Albert Mangwea na GoodFather unaitwa Lookie Lookie,endelea kuwa karibu na millardayo.com…