Top 10 ya AMPLIFAYA May 8, Mwanaume muuaji Mwanza, Club tajiri duniani, foleni na ndoa Dsm
Amplifaya ni show inayosikika Jumatatu mpaka Ijumaa on Clouds FM Tanzania ikihusu habari 10 za siku zinazohesabiwa kwenye dakika 120, za siasa, muziki, michezo, movies na mengine mengi ambapo hizi…
Video ya ‘taste money’ ya P Square imetoka, iko hapa
Ni time ya kuicheki video mpya ya P Square ambao ndani ya siku 30 zilizopita walikua kwenye headlines kubwa za Afrika baada ya stori kuenea kwamba kundi hilo limevunjika japo…
You heard ya leo May 8 2014 on XXL inamuhusu Linex
Hii ya leo inamuhusu msanii anaewakilisha Kigoma All stars Linex Linenga ambapo inasemekana amemdhulumu designer ambaye alikua ameprint tshirt za Kimugina ambayo ni clothing line ya Linex. Gossip Cop Soudy…
Yanga yaingia makubaliano na benki TPB kuja na huduma hii….
Klabu ya Young Africans imeeingia makubaliano na Benki ya Posta nchini juu ya mabadiliko ya utengenezaji wa kadi za wanachama kutoka kwenye mfumo wa zamani (analogy) kwenda kwenye mfumo mpya…
Kuelekea kombe la dunia: Vikosi vya Ujerumani na Brazil vyatangazwa
Homa ya kombe la dunia imeanza kupanda na timu kadhaa zimeanza kutangaza vikosi vya wachezaji watakaoenda Brazil kushiriki michuano hiyo inayotarajiwa kuanza June mwaka huu. Jana usiku kocha wa timu…
Picha 10 za msichana wa Kiafrika anaefananishwa na Rihanna
Huyu msichana aliwahi kutokea kwenye video ya mmoja kati ya wakali wa Nigeria aitwae Orezi ambae aliimba wimbo unaitwa Rihanna ambapo video ilifanyika Afrika Kusini na unaweza kuitazama chini mwisho…
Mtanzania mwingine akamatwa Airport Nairobi akiwa na mzigo wa dawa za kulevya.
Mwanaume mmoja Mtanzania amekamwata katika uwanja wa kimataifa wa Jomo Kenyatta Nairobi Kenya akiwa amebeba dawa za kulevya akiwa njiani kuelekea Antananarivo ambapo mzigo huo ulitokea Tanga kisha ukapita Mombasa…
Hii hekaheka ya mchawi kudondokea ndani ya nyumba ya mtu umeipata?
Idara ya Hekaheka kila siku haikauki habari ambazo muda mwingine zinasisimua na kukuacha na maswali mengi sasa hii ni nyingine tena ambayo imetokea Mtaa wa maneno,Temeke D'salaam baada ya kudondoka…
Taarifa kuhusu Kocha wa Yanga kusitisha mkataba wake na Yanga.
Taarifa ambayo inatolewa muda huu na Uongozi wa Yanga ni juu ya kuacha kazi kocha wa timu hiyo Hans Van Der Plujim ambaye aliungana na timu hiyo January 2014,sababu za…
Listi ya vilabu vyenye utajiri duniani: Man Utd, Real Madrid, FC Barcelona nani kashika nafasi ya kwanza?
Klabu ya Manchester United imezidi kushuka chini kwenye chati ya vilabu vyenye thamani kubwa ulimwenguni, kwa mujibu wa jarida la Forbes. Nafasi ya kwanza imeshikwa na klabu ya Real Madrid…