Suprise waliyofanyiwa the Baloziz ! @baloziz
Hawa ni washiriki wa mwanzo waliochaguliwa kwenye ule mchujo wa kuwa balozi wa game jipya town... kinywaji kipya kutoka Serengeti bweweries limited ambapo hawa sita wamekua wakiishi kwenye jumba moja.…
Huu ndiyo mfuko mpya unaoanzishwa na TFF utakaokua unatafuta vyanzo vya rasilimali.
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeazimia kuanzisha Mfuko wa Maendeleo ya Mpira wa Miguu Tanzania (TFF Development Trust Fund). Uamuzi wa kuanzisha mfuko huo umepitishwa katika kikao cha…
Picha 5 za Ridhiwani Kikwete na Godfrey Mgimwa wakiapishwa mjengoni Dodoma leo.
Wabunge wapya walioingia mjengoni msimu huu ni pamoja na Mbunge Ridhiwani Kikwete kutoka jimbo la Chalinze na mbunge Godfrey Mgimwa kutoka jimbo la Kalenga leo wameapishwa rasmi kwenye Bunge la…
Teknolojia ilivyomuumbua huyu mwizi, aliiba simu ikajipiga picha na kumtumia mmiliki
Jinsi teknolojia inavyokua kuna baadhi ya vitu kwenye miaka inayokuja vitashindikana kufanyika kutokana na maboresho yanayofanyika kuvidhibiti. Unaambiwa kuna simu ya mkononi iliibwa lakini baadae kidogo ikatuma ujumbe mfupi na…
Kuhusu mtoto asiyezidi miaka 10 anayehudumia ‘Guest House’ sikiliza Hekaheka ya leo hapa.
Kwa siku za hivi karibuni idara ya Hekaheka imekua ikipokea taarifa za watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu na wengi wao hua wanaonekana kunyanyaswa au kufanyishwa vitendo ambavyo hawastahili,leo ni mpya…
Cheki Video ya Young Killer akiwashukuru Mashabiki kwa tuzo aliyopata kwenye #KTMA2014
Jumamosi Mei 03 kulikuwa na utoaji wa tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards ambapo kwa msanii kutoka 88.1 Mwanza Young Killer alishinda tuzo bora ya msanii bora anayechipukia/anayeibukia kwa mwaka…
Seneta wa Nairobi Mike Sonko ‘sharobaro’ ameamua kuonyesha mshahara anaolipwa na matumizi yake.
Unaambiwa Seneta wa Nairobi Mike Sonko maarufu kama mbunge Sharobaro time hizo, amepost payslip yake kwenye Facebook ikionyesha mshahara anaochukua na matumizi yake kwa mwezi March. Mike Sonko anakua kiongozi…
Bunge la bajeti linaanza leo na hizi ndizo posho mpya zilizoongezwa kwa Wabunge.
Baada ya kuhairishwa kwa Bunge la maalum la Katiba,Bunge la bajeti linaanza leo Mei 06 Dodoma ambapo wabunge wanatarajiwa kuanza kulipwa viwango vipya vya posho ambapo itakua ni shilingi 300,000…
Mpya kuhusu Mabasi yaendayo haraka Dar, yanaanza lini? daladala ngapi nje?
Unaambiwa Zaidi ya daladala 1,800 hazitoruhusiwa kufanya safari zake maeneo ya katikati ya jiji la Dar baada ya miundombinu ya mradi wa mabasi yaendayo haraka kukamilika na ujenzi huo wa…
Sikiliza Magazeti yakisomwa Redioni leo Mei 06.
Kama kawaida unapomaliza kusoma vichwa mbalimbali vya Magazeti ya Tanzania nakupa nafasi ya kusikiliza Magazeti hayo yakisomwa na kuchambuliwa Redioni,hapa yanasomwa na kuchambuliwa na PJ. 88.5 Clouds Fm inasikika ukiwa…