Angalia jinsi Drake alivyobadilishwa sura na kujichanganya mtaani akijifanya Mwandishi wa habari
Msanii Drake amebadilishwa sura kwa kubandikwa ndevu za bandia na kuvalishwa wigi ambapo vyote hivyo vimempa muonekano tofauti kabisa na alivyozoeleka. Alichokifanya ni kuingia mitaani na kuwauliza watu maswali kuhusu…
Sentensi 5 za walichosema Samuel Eto’o na Davido London, pia tazama wakicheza skelewu
Mwanzoni ilitoka video ya sekunde chache ikionyesha jinsi Davido anamfundisha Samuel Eto'o jinsi ya kucheza Skelewu lakini hii ni full interview kutoka kwenye Youtube channel ya Samuel Eto'o ambapo wanafanyiwa…
Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo April 12 2014
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
Kwa nyimbo za Nigeria, hii nayo ni habari ya town @yemialadee
Wakati miongoni mwa nyimbo za Wanawake zinazochezwa sana redioni kwa sasa Tanzania ni pamoja na 'maumivu' ya Khadija, huko Nigeria hii single ya 'Johnny' iliyoimbwa na Yemi Alade ndio inamiliki…
Show ya TV inayoonyesha vituko na makosa madogomadogo ya binadamu kila siku
Inawezekana tumezoea kutazama sana show za TV ambazo nyingi huwa zinafanana kiasi au kabisa lakini hii inaweza kuwa miongoni mwa zile chache zenye utofauti. Ni show ambayo inaonekana kukusanya video…
Ndege iliyopata ajali Dar ilijipigiza kwa kishindo, picha 9 za ukaribu jinsi ilivyoharibika ziko hapa
Dar es salaam imekua ikipokea mvua kubwa sana kwenye siku hizi za karibuni ambayo imehusika sana kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kwa watu kuonyesha jinsi madimbwi yalivyotawala hata kwenye sehemu…
Iliwahi kumtokea George Bush, sasa hivi ni Hillary Clinton karushiwa kiatu.
Wakati mke wa Bill Clinton ambae ni rais wa 42 wa Marekani akitoa risala huko Las Vegas Marekani kuna Mwanamke mmoja ambae haikujulikana ni nani, alitoka kwenye upande wa wanaosikiliza…
Hili ndilo gari alilopata nalo ajali msanii Shetta jana
Msanii Shetta wa bongofleva amepata ajali ya gari maeneo ya Minjingu akielekea Babati kwa ajili ya kufanya show ambayo maamuzi ya kuifanya yalikuja dakika za mwisho. Wakiwahi show kwa kutumia…
Kisa cha mtoto aliemuua mume wake wiki moja baada ya ndoa.
Msichana mwenye umri wa miaka 14 kutoka Kaskazini mwa Nigeria huko Kano amekiri kumuua mwanaume alimuoa kilazima kutokana na shinikizo la wazazi uamuzi ambao hakuridhishwa nao kabisa. Wasilu Umar amemuua…
Umeiona video mpya ya Prezzo? Vera yuko ndani… @AMB_Prezzo
Video inaitwa 'my gal' ambapo mrembo alieuza ndani yake anaitwa Vera Sidika alieuchukua umaarufu kutokana na picha kwenye mitandao za jinsi alivyoumbika.