Maneno ya Diamond baada ya BASATA kufuta nyimbo tuzo za KILI 2014
Baraza la sanaa la Taifa (BASATA) March 25 2014 wakati wa utangazaji wa wasanii wanaowania tuzo za KILI 2014 limesema limezifuta nyimbo tatu za wasanii wa bongofleva kwenye ushiriki wa…
Msikilize Mbwiga wa March 25.
Msikilize Mbwiga leo March 25 katika udambwi dambwi wa kimichezo ambao unakujia kupitia Sports Extra kuanzia Jumatatu mpaka Ijumaa. 104.4 Clouds Fm inasikika ukiwa Dodoma. Bonyeza play kusikiliza.
Habari 10 za AMPLIFAYA March 25 2014
Amplifaya ni show ambayo inasikika kupitia Clouds FM Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia saa moja usiku ikihusika kutoa stori zote kumi kubwa za siku za siasa, muziki, michezo, movies, maisha na…
Gari alilonunua Masanja Mkandamizaji na maneno aliyoandika.
Masanja Mkandamizaji ambae anatajwa kuwa miongoni mwa wachekeshaji wachache wa Tanzania waliofanikiwa kimaisha, amesema 'Mungu wangu ni mzuri, asante Mungu kwa kunipendelea... usafiri huu kwangu ni muujiza'
Umesikia kuhusu Watanzania waliohukumiwa kunyongwa China?
Matukio ya kukamatwa kwa Watanzania nchini China kwa kesi za biashara ya dawa za kulevya yana idadi kubwa sana ndani ya hii miaka mitano iliyopita. Miezi miwili iliyopita Balozi wa…
Dakika zako 3 unaweza kuzitumia kutazama hii video mpya ya 50 Cent
50 Cent yupo kwenye hii game kwa miaka kadhaa sasa hivi toka enzi hizo dunia inamfahamu kwa single yake ya 'In da club' ambayo nakumbuka ilivunja rekodi pia mpaka nchini…
Picha za Swizz beatz na Alicia keys huku Mashonda akishuhudia zimeleta huruma.
Alicia Keys na mume wake Swizz Beatz pamoja na mke wake wa zamani Mashonda na watoto wao walikuwa kwenye mapumziko ya kifamilia ufukweni lakini watu hawakuwaza tena starehe zao bali…
Kama ulimis Hekaheka ya leo March 25 ipo hapa.
Hii ni Hekaheka iliyotokea wiki kadhaa nyuma ambayo iliwahusisha vijana waliochukuliwa Songea wakiambiwa wanapelekwa Arusha kwa ajili kufanya kazi,ikatoka taarifa kuwa makubaliano waliyokubaliano siyo yale waliyoyakuta huko,huu ni muendelezo wake…
Sikiliza You heard ya leo inayomhusu Mtunisi wa Bongo Movie.
Hii imemtokea Mr Mtunisi wa Bongo Movie baada ya kusemekana aliigeuza Gari yake ya binafsi na kuifanya ya abiria sasa tatizo limemtokea baada ya kusemekana alimpakia dada ambaye aligoma kulipa…
Baada ya kuenguliwa kwa ‘tema mate’ kwenye tuzo za KILI, Madee amezungumza haya
Msanii Madee toka Tip Top Connection ni miongoni mwa wasanii ambao hawajaingizwa kwenye kushindania tuzo muziki Tanzania (KTMA) 2013/2014 baada ya baraza la sanaa Tanzania (BASATA) kutangaza kwamba 'tema mate…