Rihanna na Drake waonekana wakijiachia pamoja ndani ya Paris
Drake alikuwa Paris kwa ajili ya show lakini mapaparazi wamejua kwamba Rihanna na Drake walikuwa wana-hang out pamoja weekend iliyopita sehemu mbalimbali na kupata dinner kwenye mgahawa maarufu wa L'Avenue.…
Kutana na tatoo mpya ya msanii Iyanya na maana yake.
Moja ya show zilizopendwa na mashabiki wengi kwenye Fiesta 2013 ilikuwa ni kutoka kwa msanii wa Man made music Iyanya Mbuk. Hivi sasa amepost picha mpya ikionyesha tatoo yake…
Wale wa Beyonce, hii ni video yake nyingine mpya yaitwa ‘partition’
Ni yuleyule staa ambae umiliki wake wa headlines kwenye muziki ni mzito kuliko waimbaji wote aliowahi kuwa nao kwenye kundi moja. Video hii saa kadhaa baada ya kuachiwa tayari ilikua…
Matokeo ya mechi za Champions league Feb 25 zikiwemo za Man United na Dortmund.
Hizi zote ni game zilizopigwa February 25 2014 ikiwa ni UEFA champions league kwenye viwanja tofautitofauti.
Msikilize Mbwiga leo February 25.
Huu ni udambwi dambwi wa Mbwiga leo February 25,sikiliza kupitia 88.5 Clouds FM Masasi Bonyeza play kusikiliza.
Kuhusu Daktari feki aliyekamatwa Muhimbili leo.
Leo February 25 Uongozi wa hospitali ya taifa muhimbili kwa kushirikiana na maafisa wake wa usalama wamemnasa daktari feki aliyekuwa akiwatapeli fedha wagonjwa na watu mbalimbali wanaofika kwa ajili ya…
Hawa ndio wachezaji 22 walioitwa kwenye kikosi cha Taifa Stars
tShirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kikosi cha wachezaji 22 kwa ajili ya mechi ya kirafiki ya kalenda ya FIFA dhidi ya Namibia (Brave Warriors) itakayochezwa Machi 5…
Umesikia kilichomtokea Shaa baada ya kucheza na shabiki jukwaani,kipo hapa.
Taarifa anayo-amplify Soud Brown ni kuhusu kushushwa kwa mwanadada Shaa na anayesemakana 'Shemeji yetu' kwa kile kilichosemwa eti kisa alimpandisha shabiki kucheza naye jukwaani,sikiliza kupitia 87.8 Clouds Fm Mbeya. Bonyeza…
Sikiliza hapa Wimbo mpya wa Walter Chilambo Mavela.
Huyu ni moja kati ya mazao yaliyotoka kupitia mashindano ya Bongo Star Search na Walter alitoka mwaka 2012,hii ni baada ya nyimbo zake kadhaa baada ya Siachi,Mi ni wako,Doro na…
Ukamilifu wa stori kuhusu yule mtoto aliyechinjwa Mbagala iko hapa.
Jana ulisikiliza majirani na baadhi ya wazazi wa mtoto aliyechinjwa na ustaadhi Mbagala dar es salaam,Hekaheka ya leo inakupa nafasi ya kuwasikiliza wazazi wa huyu mtoto akiwemo baba mzazi wa…