Uliipata hii ya mchungaji wa miaka 70 kufia kwenye nyumba ya huyu muumini Mwanamke?
Ni moja ya taarifa ambazo nimezisikia sana kwa wiki hii hapa Nairobi inayosema kuhusu Mchungaji mmoja maarufu kwenye mji huu kwa jina la Geofrey Maingi wa kanisa la Redeemed Gospel…
Takwimu ya maoni ya Katiba, fahamu kuhusu serikali 3, Urais wa Jamuhuri na mengine hapa
Kupitia ukurasa wake wa Facebook Mh. January Makamba amepost kuhusu sehemu ya maoni ambayo amedai ni kwa mujibu wa kitabu cha takwimu za ukusanyaji maoni ya katiba. Kitabu hicho cha…
Sikiliza Magazeti yakisomwa Redioni leo February 21
Teknolojia inaniruhusu mimi kukuunganisha moja kwa moja ili kusikiliza Magazeti yakisomwa Redioni kwenye Power Breakfast,Magazeti haya yanachambuliwa na PJ kupitia kisehemu cha Kuperuzi na Kudadisi. Sikiliza kupitia 92.9 Clouds Fm…
Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo February 21 2014
Kila siku hapa millardayo.com huwa naweka magazeti ya siku husika, kuanzia udaku michezo na hardnews nikiamini kwamba wakati mwingine unaweza kuwa mbali na yanakopatikana au yakawa yanachelewa kukufikia asubuhi. Lengo…
Picha 10 za show ya Jaguar zikiwemo za waliozimia baada ya kumuona.
Hapa ni wakati Jaguar ndio anaingia kwenye show, haya yote unayoyaona ni magari anayoyamiliki. Kutoka 254 kwenye ardhi ya Kenyata hii story inamhusu star wa single mpya ya Kioo ambayo…
Pichaz za uzinduzi wa Movie 3 mpya ikiwemo aliyocheza Ben Pol.
Kampuni ya Proin Promortion ambayo inashughulika na uongozaji na usambazaji wa filamu mbalimbali za Kitanzania ambapo February 20 2014 wamezindua Filamu mpya 3 ambazo zinategemewa kuingia sokoni hivi karibuni. Movie…
Alichosema Mbwana Samatta kuhusu Mrisho Ngassa
Mshambuliaji wa kimataifa mtanzania anayekipiga TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Mtanzania Mbwana Samatta, amesema Mrisho Ngassa wa Yanga amefanya kitu cha maana kwa kupiga ‘Hat-Trick’ mbili mfululizo kwenye…
Fahamu siri ya uhusiano ya Ozil na kipa Manuel Neuer
“ Najua namna Mesut Ozil anavyopiga penati. Nilijua angesubiri kwa muda kabla ya kuamua upande upi apige.” – Manuel Neuer akizungumza kuhusu kuokoa penati ya Mesut Ozil. Mesut Ozil na Manuel…
Kilichosemwa na Mh.Membe kuhusu Mgogoro wa Mpaka kati ya Tanzania na Malawi.
Tanzania bado ipo kwenye mgogoro na nchi ya Malawi juu ya mpaka halisi wa nchi,Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh Benard Membe amesema hatma juu ya…
Umeiona video mpya ya P UNIT waliyofanya South Africa? @PUNIT_KENYA
Hii video P Unit waliifanya November 2013 Capetown Afrika Kusini wakati walipohudhuria tuzo za Channel O ambako walitangazwa washindi wa tuzo mbili. P Unit ni kundi la Kenya ambalo limeweza…