Hongera ziende kwa Dina Marios kwa kujifungua mtoto.
Dina Marios mwanafamilia wa Clouds FM kupitia kipindi cha Leo tena kinachosikika kila siku za wiki kuanzia saa 4 hadi saa 7 mchana amejifungua mtoto
Umeisikia hii ya Queen Darleen kupita juu ya beat ya ‘nakomaa na jiji’ ya Shilole?
Huu ni wimbo mpya toka kwa Queen Darleen ambae ni dada wa Diamond Platnumz, hapa kamshirikisha Shilole ambapo unaweza kudhani ni rmx ya 'nakomaa na jiji' lakini jibu ni hapana.......…
Baadhi ya mitaa mbalimbali Dar es salaam baada ya mvua ya February 16.
Mvua hii imenyesha sehemu kubwa Dar es salaam na kutoa usumbufu kwa baadhi ya watumiaji wa barabara za kwenda mjini na hata za mitaani. millardayo.com imepita baadhi ya mitaa kama…
Hii ndio rekodi nyingine kubwa aliyoiweka Lionel Messi usiku wa jana
FC Barcelona jana iliifunga klabu ya Rayo Valcano kwa jumla ya mabao 6-0 katika mfululizo wa mechi za ligi kuu ya Spain maarufu kama La Liga. Katika mchezo huyo mwanasoka…
Magazetini leo February 16 2014
Kila siku hapa millardayo.com huwa naweka magazeti ya siku husika, kuanzia udaku michezo na hardnews nikiamini kwamba wakati mwingine unaweza kuwa mbali na yanakopatikana au yakawa yanachelewa kukufikia asubuhi. Lengo…
Matokeo ya Barcelona vs Rayo Vallecano Feb 15 2014
Messi ni miongoni mwa waliochukua headlines za game ya leo vs Rayo Vallecano...
Matokeo ya Manchester City vs Chelsea Feb 15 2014
Ni moja ya mechi nyingine kubwa na zilizosubiriwa kutokana na rekodi ya timu hizi lakini Manchester City ndio wamechukua ushindi.. ulioanzia na goli la kwanza kipindi cha kwanza. Uchambuzi umetoka…
Matokeo ya mechi ya Mbeya City vs Simba na Yanga vs Komorozine yapo hapa
Mchezo uliokuwa ukisubiriwa kwa hamu baina ya vilabu vya Simba na Mbeya City uliokuwa unachezwa hivi punde huko jijini Mbeya katika dimba la Sokoine umemalizika. Matokeo ya mchezo huo ni…
Ni kweli Lil Kim ni mjamzito, wengi walitaka kumjua baba… ndio huyu
Baada ya taarifa za Lil Kim kuwa mjamzito swali lililobakia ni kujua nani ndio baba wa mtoto huyo atakayezaliwa mwaka huu? Jibu ni kwamba rapper Mr. Papers ndio baba wa…
Kwa wale walio-miss vitu vya Lil Wayne, hii ni habari nzuri kwenu.
Lil Wayne alikuwa na Drake kwenye show ambapo Drizzy ametoa taarifa nzuri kwenda kwa mashabiki wa Wayne. Wakiwa katikati ya show hiyo Drake alitangaza