Kama ulimis taarifa kwa umma kuhusu tuhuma dhidi ya Freeman Mbowe.
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU TUHUMA DHIDI YA MWENYEKITI WA TAIFA, FREEMAN MBOWE Kama mojawapo ya mikakati ya baadhi ya watu wanaotaka kuhamisha mjadala wa makosa yanayowaandama ya utovu wa maadili…
kocha mpya wa Yanga umemuona? huyu hapa
Club ya Yanga kupitia Facebook Imemtangaza rasmi kwamba kocha Hans Van Der Plyum ndio kocha rasmi wa timu hiyo na wameingia mkataba aanze hiyo kazi mara moja. Anategemewa Jan 14…
Unaambiwa huyu ndio mchezaji bora wa dunia kwa Wanawake.
Huyu ndiye Mchezaji bora wa kike wa dunia wa tuzo ya Ballon D’or leo jijini Zurich, ni kipa wa timu ya taifa ya Ujerumani anaitwa Nadine Angerer. Nadine Angerer ambaye…
Umeona jinsi ilivyokua kwenye tuzo ya Ballon d’Or? Ronaldo, Messi na wengine hapa
Mshindi wa tuzo ya Ballon d'Or 2013 ni Cristiano Ronaldo wa Real Madrid ambapo baada ya kuipokea amesema 'hakuna maneno yanaweza kuielezea hii furaha au huu wakati, naishukuru club yangu…
Dakika tatu za kumsikiliza Mbwiga wa Mbwiguke leo Januari 13
Mbwiga leo kazungumzia mtu aliyekua akiogopwa na timu ya Kagera Ranger,zitumie dakika hizi tatu kusikiliza udambwi dambwi aliouzungumza,sikiliza kupitia 88.1 Clouds Fm Mwanza. Bonyeza play kusikiliza.
Hiki ndicho kilichomtokea Gosby kwa Cindy rulz sikiliza kupitia You heard ya leo.
You heard ya leo inawahusu Cindy rulz na Gosby wanaosemekana ni wapenzi,kwenye mapenzi yao hiki ndicho kilichotokea kwenye tamasha la Urban Fresh Jitambue,Kisikilize kilichowatokea kupitia 87.9 Clouds Fm Arusha. Bonyeza…
Kauli ya mkuu wa wilaya ya Kiteto Mkoa wa Manyara kuhusu mauaji ya wakulima na wafugaji.
Hii ni habari kubwa sana ambayo imebeba vichwa vingi vya magazeti mengi leo,ni kuhusu mtafaruku uliosababisha mauaji kati ya wakulima na wafugaji huko wilayani Kiteto katika mkoa wa Manyara 107.3Gerald…
Hekaheka ya leo inamhusu mwimbaji Mwasiti, isikilize hapa
Leo tena inakamilishwa na Heka heka,zitumie dakika 17 hizi kumsikiliza Mwasiti akisimulia heka heka yake ambayo hatokuja kuisahau katika Maisha yake ya Kimuziki,Sikiliza kupitia 98.6 Mara. Bonyeza play kusikiliza.
Pichaz za Sherehe ya maadhimisho ya miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar
Jana ilikua ni kilele cha maadhimisho ya miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar,sherehe hizi zilihudhuriwa na viongozi mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi,Hizi ni baadhi ya picha…
Picha za Masquerade birthday party ya mama yake Beyonce aliyoandaliwa na wanae.
Beyonce na mdogo wake Solange wametumia kiasi kisichopungua dola 100,000 kumuandalia luxury Masquerade birthday party mama yao alivyofikisha miaka 60. List ya mastaa waliofika kwenye party hiyo ni Jay Z,The…