Ulimiss kusikiliza Magazeti ya leo yakisomwa Redioni?haya hapa
Hizi ni dakika 21 za kusikiliza kilichojiri kwenye kurasa mbalimbali za Magazeti ya leo januari 13,ambayo yanasomwa na PJ kutoka 87.9 Clouds Fm Moshi, Bonyeza play kusikiliza.
Post ya kwanza kutoka kwa msanii Jux inayomhusu Jackie Cliff
Ni siku kama tano zimepita toka ubalozi wa Tanzania nchini China usema hauna taarifa zozote za kukamatwa kwa Mtanzania Jackie Cliff huko China na kwamba Watanzania wa mwisho kukamatwa ilikua…
Namna ambavyo Snura alivyosherehekea siku yake ya kuzaliwa na watoto Yatima leo.
Ni mara chache sana kutokea kufanyika kwa hili alilofanya Snura kwa kutamani kwa karibu na moja kati ya Mashabiki wa muziki wake ambao ni watoto hasa kwenye siku muhimu kwake…
Hawa ndo wachezaji pekee aliokua akiwahofia ubingwa Yaya Toure
Mara nyingi hutokea kwenye mashindano yoyote kuna mtu au watu utakua unawahofia pengine kulingana na viwango sawa vya uchezaji au wao kukuzidi maarifa kidogo,hiko ndicho kilichotokea kwa Nyota toka Manchester…
Leo ni kilele cha Maadhimisho ya Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar hii leo inaadhimisha kumbukumbu ya miaka hamsini ya mapinduzi ambayo kwenye historia yanaonyesha yalimaliza utawala wa Kisultani visiwani humo. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa…
Kama una harusi hivi karibuni,Hii inakuhusu toka kwa Linex
Wasanii wa Tanzania kwa sasa wamekua na mbinu nyingi za kujiongezea kipato mbali na kipato wakipatacho kwa sasa ambacho ni showz na kuuza miito ya simu lakini kwa sasa wengi…
Rihanna anapokutana na watu wake
Katika wale mashabiki wenye mapenzi na hisia basi na huyu yumo, ni mtoto ambae ni shabiki mkubwa wa RiRi na walikutana wakati mwimbaji huyu akitoka kucheki game ya The Heat…
Huyu mtoto wa Whitney Houston si kaolewa aisee
Stori inaamplfy kwamba mtoto wa mwimbaji staa Marehemu Whitney houston, Bobbi Kristina amevunja mapendekezo ya familia yake ya kutoolewa na kijana ambae ni kama kaka yake, mshkaji ambae alilelewa toka…
Magari matatu ya mastaa wa Nigeria kwenye picha moja, Wizkid, D Prince na Don Jazzy.
Kuna siku nilikua napiga stori na baadhi ya watu wangu wa nguvu ambao wamefanikiwa kufika Nigeria na kujionea jinsi kiwanda cha muziki wa huko kilivyo na taratibu zake ambazo wanaona…
Picha za Baba mzazi wa Joh Makini na Nikki wa II na biashara anayofanya.
Simon John Mseke ndio jina lake na ana umri wa miaka 49, bado anaonekana ni kijana na akisimama na watoto wake usipoambiwa unaweza kudhani ni watu na kaka yao lakini…