Maswali matatu ya ACT-Wazalendo kwa serikali ya Rais Magufuli
August 3 2016 Umoja wa vijana chama cha ACT-Wazalendo umekutana na waandishiwa habari Dar es salaam na kuzungumzia changamoto zilizopo katika sekta ya elimu nchini ikiwa ni pamoja kitendo kilichofanywa…
AudioMPYA: Juma Nature katuletea hii single mpya Mitumba…..
Juma Nature ni miongoni mwa mastaa wenye umri mkubwa kwenye muziki wa bongofleva na bado wameendelea kutosimama kuachia kazi mpya kila wakati, mpya ya leo ya Juma Nature ni hii…
Steve Nyerere ana ungana mkono ulipaji kodi wa filamu?
Kama utakuwa unakumbuka hivi karibuni Serikali ilijipanga kuongeza kodi kwa kazi za filamu na muziki zinazotoka nje na kuingizwa nchini. Miongoni mwa wasanii walioguswa na kauli hiyo ni Steve Nyerere…
Top ten ya habari kubwa kutoka kwenye magazeti ya Tanzania August 03 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini…
VIDEO: Lowassa, Sumaye hatarini kushtakiwa, mtoto mwenye betri kutibiwa kwa CD
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo August 03 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=3HSF0-a_aAI ULIKOSA KAULI YA TUNDU LISSI BAADA YA…
Patoranking hatofanya kolabo na kila mtu, kawataja Wabongo anaofanya nao
Patoranking ni mwimbaji kutoka Nigeria na kwa sasa yuko Tanzania kuipromote album yake mpya ya 'God Over Everthing' ambapo kwenye Interview na AyoTV, kajibu ni Wabongo gani wamemvutia na yuko…
Furaha kwa Nedy video yake kuchezwa kama Smash Hit TRACE TV
Ni msanii kutoka label ya PKP kwenye single 'usiende mbali' aliyomshirikisha Boss wake kwenye label ambaye ni Ommy Dimpoz ambayo kwa sasa inachezwa kama wimbo mkubwa kwenye TV ya Ufaransa, …
Mke wa Roma Mkatoliki hana noma na umaarufu wa mume ila kuna hii ilimkasirisha
Wanasema ni ngumu kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na mtu maarufu na kama utakubali kuwa kwenye uhusiano huo basi inabidi uwe muelewa na mvumilivu maana utayoyasikia ni mengi. Mama Ivan…
Magazeti ya Tanzania August 3, 2016 kuanzia Udaku, Hardnews na michezo
August 3 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
VIDEO: Jikumbushe TOP 10 ya magoli bora ya UEFA EURO 2016
Michuano ya UEFA Euro 2016 ambayo imemalizika Ufaransa bado itaendelea kukumbukwa kwa rekodi zake kadhaa, kuna vitu vingi viliingia kwenye headlines ambavyo vitakumbukwa, ila kwa upande wa magoli bora wametuletea TOP 10…