‘Facebook sasa kutuma na kupokea fedha bure’
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini…
Magari 10 ya kifahari yanayotumiwa na jeshi la Polisi kwenye nchi 4 duniani
Labda unaweza kudhani nchi maarufu kama Marekani inaweza kuwepo kwenye hii list, ukweli ni kwamba kwa mujibu wa ripoti ya Top10 Videos nchi hiyo haipo. Wanasema tembea ujionee au tafuta…
Video nyingine kutoka kwenye eneo walikouwawa Polisi wanne wa Marekani
Ni saa chache zimepita toka Polisi kuwauwa kwa risasi Wanaume wawili Wamarekani weusi nchini Marekani, taarifa za sasa ni kutoka Dallas Marekani ambako imethibitishwa kutokea kwa mauaji ya Polisi wanne…
VIDEO: Fagio jingine la JPM, Kaburi la mtu wa ajabu lagundulika Tanga
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo July 08 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=gDCbgRD_21I ULIKOSA HII YA SHILINGI 500 KWAMBA ILITENGENEZWA…
VIDEO: Kutoka eneo kulikotokea mauaji ya Polisi wanne Marekani
Polisi wa Dallas Marekani wamethibitisha kutokea kwa mauaji ya Polisi wanne na wengine kujeruhiwa kwa risasi wakiwa kwenye maandamano yaliyofanywa na Wananchi kupinga mauaji ya Wanaume Wamarekani weusi wawili ndani…
EXCLUSIVE: Suma Lee kaongea kwa mara ya kwanza toka alipojitenga na bongofleva
Miongoni mwa hits zilizokuwa zikifanya vizuri miaka iliyopita kutoka kwa mkali wa bongofleva Suma Lee ni pamoja na Hakunaga ambayo iliingia kwenye list ya single kali zilizoanza kuchezwa zaidi ya mara tatu kwa siku mpaka…
Ukiniuliza movie gani kali ya kutazama leo Cinema Dar es salaam….(+TRAILER)
Najua nina watu wangu ambao wanapenda kwenda Cinema kila weekend inapofika, kama upo Dar es salaam ningependa ukaitazama hii movie mpya iitwayo The Legend of Tarzan ambayo itaanza kuonesha leo July…
Ukimya wa Top 5 BSS 2015, Madam Rita kayaongea haya..(VIDEO)
Najua nina watu wangu ambao watakuwa na maswali mengi juu ya kuhusu wale Top 5 wa Bongo Star Search 2015, sasa basi Ayo TV imemtafuta Jaji Madam Rita kufafanua zaidi.…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo July 8, 2016 Kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
July 8 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
PICHA: Ikufikie taarifa ya usajili wa Victor Valdes EPL
July 7 2016 kwa upande wa headlines za usajili katika Ligi Kuu Uingereza, nimeipata hii ya usajili wa golikipa wa zamani wa FC Barcelona na Machester United Victor Valdes mwenye umri…