Mastaa ambao watabeba jeneza la bondia Muhammad Ali wakati wa mazishi
Bado dunia na mashabiki wa mchezo wa Boxing wapo katika maombolezo ya msiba wa bondia mahiri aliyewahi kushinda mikanda mbalimbali ya Boxing Duniani Muhammad Ali, leo June 7 2016 mitandao mbalimbali…
Video: Mtazame Ben Pol kwenye stage moja na Mama yake Mzazi
Miaka 10 ya Christian Bella ilisindikizwa na burudani kutoka kwa wasanii mbalimbali kutoka Bongoflevani, Mrembo Maua Sama, Legendary Dully Sykes na bila kumsahau Ben Pol ambapo usiku ule aliweza kumtambulisha…
Hoja ya kukata Mishahara ya wabunge wanaosusia vikao imefikia hapa
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini…
VIDEO: CCM wameyazungumza haya baada ya upinzani kusema wanaenda kwa wananchi kushitaki
June 06 2016 Msemaji wa CCM, Christopher Ole Sendeka amekutana na waandishi wa habari na kuzungumza mambo kadhaa ambapo kati ya hayo amezungumzia suala la wabunge wa upinzani kusema wanaenda kwa wananchi…
Siwema, mama mtoto wa Nay wa Mitego kapata kifungo cha nje, Nay kaeleza..(+Video)
Stori inayochukua headlines 88.1 (Mwanza) kuhusu Mama mtoto wa Nay wa Mitego, Siwema kutumikia kifungo cha nje, sasa Ayo TV imempata Nay wa Mitego kueleza taarifa hizo za mzazi mwenza.…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo June 7, 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
June 7 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
Diamond na uongozi wake mguu kwa mguu kwenye ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dar…(+Video)
Ni June 6, 2016 ambapo staa Diamond Platnumz aliungana na uongozi wake wa label ya WCB kuelekea ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda. Akizungumza na…
VIDEO: Weusi walivyokutana na watu wao Singida on stage…
Ni June 3, 2016 ambapo wakali wa Hip Hop wanaounda kundi la Weusi walitoa burudani ya nguvu kwa wakazi wa Singida..tazama hii video hapa chini. https://www.youtube.com/watch?v=DwL6ZakpAwU ULIIKOSA HII YA JOH…
GoodNews: A.K.A wa South Africa kapata dili la kuperform main Stage ya BET
Tuzo za BET ni tuzo kubwa za muziki kutoka Marekani na zenye heshima kubwa duniani, ambapo mwaka huu zitafanyika June 26 2016 Los Angeles Marekani. Kama kawaida wasanii wataperform ila good news…
Yanga imefanikiwa kusajili wachezaji wawili leo June 6 2016
Good news kwa mashabiki wa klabu ya Dar es Salaam Young Africans, taarifa kutoka klabu ya Dar es Salaam Young Africans zimetolewa leo June 6 2016 kufanikiwa kuwasajili wachezaji wa…