PICHA 9: Bunge la Bajeti la Afrika Mashariki limeendelea Arusha, bajeti hii ndio iliyowasilishwa
Bunge la Bajeti ya Afrika mashariki kwa mwaka wa Fedha 2016/17 limeendelea leo May 27 2016 Arusha ambapo Naibu Waziri wa mambo nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki, ambaye ni…
Rekodi 5 za Ligi ya Mabingwa Ulaya ambazo hazijawahi kuvunjwa
Ilikuwa mwezi sasa zimebaki saa kadhaa ulimwengu kuweza kushuhudia fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya itakayozikutanisha timu kutokea Hispania jiji moja, Atletico Madrid dhidi ya Real Madrid fainali ambayo itachezwa…
VIDEO: Mbunge Halima Bulembo katusaidia kuipata Takwimu ya Wanafunzi Tanzania
Bado tunazisogelea stori kutokea Bungeni Dodoma, siku mbili za May 26 na 27 zimetengwa kwa ajili ya kuijadili bajeti ya Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi iliyowasilisha maombi yake ya…
PICHA13: Jamaa kaamua kupanda juu ya mnara wa simu na kujirusha chini Mwanza
Kwa siku za hivi karibuni Mwanza imekuwa na matukio ya kusikitisha, leo tena Mwanza imeingia kwenye Headline ya mtu kupanda juu ya Mnara wa Mtandao wa simu na kujirusha chini…
EXCLUSIVE: Harmonize kaelezea yote kuhusu ile video iliyosambaa na wengi kuamini kamkejeli Wema Sepetu
Toka juzi kuna video ilisambaa ikimuonyesha mwimbaji wa bongofleva kutoka lebo ya WCB inayomilikiwa na Diamond Platnumz, Harmonize akionekana kwenye kipande cha video ambayo wengi wametafsiri kama alikejeli ishu ya…
VIDEO: Waziri Ndalichako kaongea sababu ya kuivunja tume ya Vyuo Vikuu ‘TCU’ na kuwasimamisha wanne
Bunge la 11 bado linaendelea Dodoma, May 26 na 27 zimetengwa kwa ajili ya kuijadili bajeti ya Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi inayoomba kutengewa jumla ya Shilingi 1,396,929,798,625.00 ili kutekeleza…
EXCLUSIVE: Aunty Ezekiel kaelezea siku Mose Iyobo alipohisi mtoto sio wake
Mwigizaji Aunty Ezekiel amekaa kwenye Exclusive ya AyoTV na kuelezea vitu kadhaa kwenye mapenzi yake na Dancer wa Diamond Platnumz Mose Iyobo ambapo miongoni mwa alivyoongelea ni pamoja na siku…
VIDEO: Kabla ya kuongelea ishu ya Wanaume kutooa Wanawake wazuri Mbunge Bashungwa alianza hivi
Moja ya stori zilizo make headlines kwenye mitandao ya kijamii kutokea Bungeni ni pamoja na stori ya Mbunge wa Karagwe Innocent Bashungwa aliyesimama bungeni kuchangia bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii,…
VIDEO: Snura-‘Video zingine kama “Chura” sio za kuonyesha watoto’
Msanii wa bongofleva Snura ametrend sana baada ya video yake ya ‘chura‘ kufungiwa na serikali hadi itakaporekebishwa, hii ni interview yake alipokutana na Millard Ayo na kuzungumzia ishu ya video za…
PICHA 4: Ndege ya Korea imewaka moto ikiwa na abiria uwanja wa ndege
Matukio ya ndege yameendelea kutokea mwaka huu, Egypt Air May 19 2016 ilianguka na kuua abiria wote, leo May 27 ndege ya Korean air aina ya Boeing 777 imepasuka injini moja ya kushoto na…