Video: Mpango wa Paul Makonda kwenye magari mabovu aliyoyakuta Ofisini kwake
Chama cha Mafundi Magari Wilaya ya Kinondoni wameungana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda katika utengenezaji wa jumla ya magari 8 ambayo Mkuu wa Mkoa alipoingia katika…
VIDEO: Vurugu zilivyotokea leo kwenye Bunge la Afrika Kusini baada ya wapinzani kupinga Rais asihutubie
Watu wa usalama katika bunge la Afrika Kusini wamewaondoa wabunge wa Upinzani wa chama cha Economic Freedom Fighter baada ya kujaribu kuzuia Rais Jacob Zuma asihutubie. EFF wamesema Rais Zuma…
Achana na headlines za sukari kufichwa, wafanyakazi kiwandani wanamipango tofauti
May 17 2016 headlines mpya ambazo imezifikia millardayo.com ni kuhusu sukari, baada ya kuwepo na headlines nyingi kuhusu baadhi ya wafanyabiashara kutuhumiwa na wengine kukamatwa kutokana na kosa la kuficha…
Abiria ndege ya ATCL waliotakiwa kusafiri kwenda Comoro wamekwama kuondoka kwa siku sita
Abiria zaidi ya 80 waliotakiwa kusafiri na ndege ya shirika la ATCL kwenda Comoro wamekwama kusafiri baada ya Ndege ya Shirika la ATCL waliyotakiwa kusafiri nayo kuharibika. Shirika la ATCL wamesema…
Kesi ya aliyemtukana Rais Magufuli Facebook imeendelea leo May 17 2016
Kesi inayomkabili Isaac Abakuk ambaye anatuhumiwa kumtukana Rais John Magufuli kwenye ukurasa wake wa facebook imeendelea leo May 17 2016 kwenye Mahakama Kuu kanda ya Arusha ambapo ushahidi umekamilika na…
VIDEO: Huu ndio mchanganuo wa Trilioni 4 ulioombwa na Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano
Bunge la 11 limeendelea Dodoma, na leo May 17 2016 ilikuwa ni zamu ya Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano kuwasilisha hotuba yake pamoja na kuomba kupitishiwa bajeti yake ijayo. …
Maamuzi ya Mahakama Kuu Tabora kwenye kesi ya Kafulila.
Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Tabora iliyokuwa inasikiliza kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa Jimbo la Kigoma Kusini iliyofunguliwa na aliyekuwa mgombea kupitia Chama cha NCCR-Mageuzi, David Kafulila imetoa…
Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano imeomba kutengewa Trilioni 4 kama bajeti yake ijayo
Bunge la 11 limeendelea Dodoma, na leo May 17 2016 ilikuwa ni zamu ya Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano kuwasilisha hotuba yake pamoja na kuomba kupitishiwa bajeti yake ijayo. …
Nakukutanisha na Headlines zilizobebwa kwenye Magazeti ya Leo May 17 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa…
VideoMPYA: Msanii mpya kutoka The Industry ya Navy Kenzo anatualika kuitazama video yake ‘Njoo’
Baada ya Label ya The industry inayoongozwa na Nahreel na Aika kuwatangaza wasanii wao wapya sasa good news kutoka The industry ni hii video mpya 'Njoo' ya msanii wa mpya Seline…