VIDEO: Magoli ya Yanga vs Mtibwa Sugar April 16 2016, Full Time 1-0
April 16 2016 klabu ya Yanga ilicheza mchezo wake wa mwisho wa kiporo kati ya mitatu dhidi ya klabu ya Mtibwa Sugar ya Manungu Turiani, Yanga ilifanikiwa kuibuka na ushindi…
VIDEO: Kwa mara ya kwanza Samatta kacheza dakika 90 akiwa na KRC Genk na kapachika goli hili
Nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Mbwana Samatta April 16 2016 alipata nafasi ya kuanza na kucheza mechi kwa dakika 90 kwa mara ya kwanza akiwa na KRC Genk…
VIDEO: Barabara za juu kuanza kutumika Dar, Rais Magufuli Kauzindua mradi wake leo
April 16 2016 Rais John Pombe Magufuli amefanya uzinduzi wa mradi wa barabara ya juu ‘Flyover’ Dar es salaam, barabara inayotarajiwa kuanza kufanya kazi mwaka 2018. Lengo likiwa ni kupunguza…
Hat Trick ya Sergio Aguero imeifanya Manchester City kuondoka na point 3 darajani..
April 16 2016 kuliendelea michezo kadhaa katika ligi Kuu ya Uingereza michezo ambayo ilipigwa katika viwanja sita tofauti Uingereza, klabu ya Chelsea walikuwa wenyeji wa Manchester city, Mchezo ambao ulipigwa katika dimba la Stanford Bridge…
Picha 15: Mvua ya Dar zilivyompeleka RC Makonda Jangwani leo
Dar es salaam imekuwa moja ya majiji yanayosumbuliwa na kero za mafuriko haswa katika kipindi cha mvua, ni siku kadhaatu baadhi ya watu walilazimika kuhamishwa katika maeneo yao ya makazi…
Ushindi wa Yanga dhidi ya Mtibwa Sugar umeirudisha kileleni (+Pichaz)
Baada ya malalamiko ya muda mrefu kuhusu klabu ya Dar es Salaam Young Africans kuwa na viporo vingi, hatimae April 16 2016 wamemaliza michezo yao ya viporo kwa ushindi wa…
Daraja jipya la Kigamboni limeanza kutumika leo jionee hizi picha 20…
April 16 2016 ni siku ya kwanza kwa wakazi wa kigamboni kuanza kutumia Daraja jipya la kigamboni, kuvuka kutoka upande wa vijibweni kwenda upande wa pili wa kurasini Daraja la…
Picha 23 Rais Magufuli alivyozindua mradi wa barabara za juu ‘Flyover’ Dar
Leo April 16 2016 Rais John Pombe Magufuli amefanya uzinduzi wa barabara ya juu 'Flyover' Dar es salaam, barabara inayotarajiwa kuanza kufanya kazi mwaka 2018. Lengo likiwa ni kupunguza kero…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 16 2016 kwenye,Udaku, Hardnews na michezo
April 16 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye ,Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu…
Habari 9 kubwa kwenye TV za Tanzania April 15 2016
Kama wewe ni mpenzi wa kufuatilia kinachoendelea katika taarifa za habari kupitia TV za Tanzania na ulikosa time ya kuangalia taarifa ya Habari ya April 15 2016 usijali millardayo.com inakupatia fursa…