Kama uliikosa hii ni video ya uzinduzi wa “Kamatia Chini Lights Up Tour” ya Navy Kenzo
Usiku wa February 28 kundi la Navy Kenzo linaloundwa na Aika na Nahreel lilifanya uzinduzi wa "Kamatia Chini Lights Up Tour" ambayo itafanyika mikoa kadhaa Tanzania pamoja na Nairobi Kenya.…
Vichwa 6 vya Habari kwenye TV za Tanzania March 2 2016
Kama ukupata time ya kutazama Taarifa ya Habari March 2 2016 millardayo.cominakupatia fursa ya kuvitazama vichwa vya habari vilivyosomwa kwenye TV za Tanzania. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka…
Wachezaji 6 wenye tuzo ya mchezaji bora wa Dunia lakini hawakutwaa Kombe Ligi ya Mabingwa Ulaya
Kitu muhimu katika maisha ya wanasoka wakubwa duniani sio tu kupata na kulipwa mshahara mkubwa, bali mataji ni miongoni mwa vitu ambavyo wachezaji wanavipa kipaumbele, March 2 nimekutana na list…
Msanii aliyejitokeza na kusema ‘shika adabu yako wa Nay wa mitego ni wimbo mzuri’
Kwenye game ya bongofleva moja ya stori zilizopita sana juzi kati ni wimbo wa 'shika adabu yako' wa Nay wa Mitego kuripotiwa na vyombo vya habari kwamba umepigwa marufuku kuchezwa kwenye…
Picha 9 za Halima Mdee na wenzake walivyotoka Mahakamani leo
Leo March 2 2016 wabunge wawili wa chadema, Mbunge wa Kawe, Halima Mdee, Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Mwita Waitara Pamoja na Diwani wa Kata ya Saranga, Ephrein Kinyafu. Wamefikishwa mahakamani kwa ajili ya…
Kama uliikosa ya muonekano wa Mbwana Samatta, Lionel Messi na Neymar kwenye Game ya FIFA 16
Kwa wapenzi wa michezo ya game hususani game za mchezo wa soka maarufu kama Play Station, huwa ni kawaida kuona wataalam wa game kutengeneza game za timu zinazopendwa na muonekano…
Breaking News: Halima Mdee na wenzake wamefikishwa Mahakamani leo
Baada ya baadhi ya wanasiasa wa Chadema akiwemo Mbunge wa Kawe, Halima Mdee kushikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumjeruhi katibu tawala wa Mkoa wakati wa uchaguzi wa Meya wa jiji…
Stori kubwa kwenye uchambuzi wa Magazeti March 2 2016…#PowerBreakfast (+Audio)
Uchambuzi wa magazeti March 2 2016 kwenye Power Breakfast ya Clouds FM habari kubwa leo ni pamoja na hizi, Tumechoka ni kauli ya Chadema, Wabunge Madiwani wake wakamatwa, CCM yashinda…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo March 2 2016 kwenye Udaku, hardnews na michezo
March 2 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu…
Baada ya kudaiwa kumtelekeza mtoto, Barakah da Prince kafunguka ya moyoni….(+Video)
Stori kwenye U Heard ya clouds FM March 1 2016 ilikuwa ni hii ya staa wa bongofleva Baraka da Prince, kuhusiana na tuhuma za kumtelekeza mtoto, Soudy Brown alipiga stori na…