VIDEO: Waliohusika kutorosha Makontena Bandarini, hizi ndio hatua zitakazochukuliwa kwao…
Utoroshwaji wa Makontena uliofanyika katika Bandari Kavu kisha kugunduliwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa mara ya kwanza alipotembelea Bandarini na baadae Rais Magufuli Kuwataka walewote waliotorosha Makontena hayo walipe kodi…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo February 14 2016 kwenye Hardnews na michezo
February 14 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu…
Picha 18 kilivyo happen usiku wa Muzika Festival Mwanza….
Kwenye usiku wa Valentine Day Mwanza nao walikuwa na burudani ya nguvu kutoka kwa mastar wa Nigeria na hapa Tanzania, Nigeria Tekno na Seyi Shay wametoa burudani kwa mara ya…
Video ya magoli yote ya Stand United vs Simba Feb 13 2016, Full Time 1-2
February 13 2016 Simba ilicheza na wenyeji wao Stand United ikiwa ni mechi yake ya 19 Ligi Kuu Tanzania bara, Simba walifanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 2-1, magoli ya Simba yalifungwa…
Video ya Mbwana Samatta alivyowaongoza wachezaji wenzake kusherehekea ushindi wa KRC Genk wa 6-1
February 13 Ligi Kuu Ubelgiji imeendelea kama kawaida, Ligi ambayo kwa sasa watanzania wanaifuatilia ili kumuangalia nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Mbwana Samatta akicheza Ligi hiyo, klabu ya…
Usisahau kwamba Chelsea imecheza February 13, wamempa mtu 5
Ligi Kuu Uingereza imeendelea tena leo February 13 kwa jumla ya michezo 7 kupigwa katika viwanja kadhaa Uingereza, Mabingwa watetezi wa Ligi hiyo ambao msimu huu wamekuwa wakisuasua kupata matokeo…
Sentensi 28 za maneno aliyoyaongea Rais Magufuli Feb 13, jengo la Muhimbili, Znz, siku zake 100 na mengine
https://twitter.com/millardayo/status/698544414537469953 https://twitter.com/millardayo/status/698544635170451457 https://twitter.com/millardayo/status/698544891153031168 https://twitter.com/millardayo/status/698545116034830337 https://twitter.com/millardayo/status/698545389964648448 https://twitter.com/millardayo/status/698545920024186880 https://twitter.com/millardayo/status/698546119232638977 https://twitter.com/millardayo/status/698546457591283712 https://twitter.com/millardayo/status/698547830940684290 https://twitter.com/millardayo/status/698548865067327488 https://twitter.com/millardayo/status/698549204348727297 https://twitter.com/millardayo/status/698549367834337281 https://twitter.com/millardayo/status/698549785318526976 https://twitter.com/millardayo/status/698550570760667141 https://twitter.com/millardayo/status/698550976161124352 https://twitter.com/millardayo/status/698551604962816000 https://twitter.com/millardayo/status/698551796269191169 https://twitter.com/millardayo/status/698552111253082112 https://twitter.com/millardayo/status/698552451797020673 https://twitter.com/millardayo/status/698552644772696064 https://twitter.com/millardayo/status/698553042170470402 https://twitter.com/millardayo/status/698554156831924225 https://twitter.com/millardayo/status/698554479105417216 https://twitter.com/millardayo/status/698554693937659908 https://twitter.com/millardayo/status/698555139859292165 https://twitter.com/millardayo/status/698555306960429058 https://twitter.com/millardayo/status/698555460815872000 https://twitter.com/millardayo/status/698556245389746181 Unaweza kuisikiliza…
Simba yaibuka na ushindi mwingine, kutoka Kambarage Shinyanga dhidi ya Stand United (+Pichaz)
Licha ya kuwa Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania bara klabu ya Dar Es Salam Young African wapo Mauritius kukipiga na klabu ya Cercle De Joachim katika harakati zake za kuanza…
Dakika 53 za Rais Magufuli akilihutubia Taifa katika mkutano na Wazee wa Dar Leo Feb 13…(+Audio)
Feb 13 2016 Rais John Pombe Magufuli alikutana na Wazee wa Dar na kulihutubia Taifa katika ukumbi wa Diamond Jubilee, hapo hapo akachukua time yake kuyawasilisha ya moyoni. Baadhi ya aliyozungumza ni…
Ninazo picha za kwanza kwenye Muzika Festival, Sound check Mwanza Rock city….
Leo watu wangu wa 88.1 Mwanza wanaenjoy na Muzika Festival pale jembe beach, kwa mara ya kwanza kwenye stage live in Mwanza Tekno na Seyi Shay mastar kutokea Nigeria na…