Chris Brown kaja na mzigo mwingine, dakika zako tatu kuupitia hapa.. -‘Back to Sleep’ (+Video)
Zikiwa zimebaki siku chache kufikia uzinduzi wa album yake mpya, Royalty staa wa muziki wa R&B, Chris Brown amerudi kwa mara nyingine wiki hii na ujio wa mzigo wa latest single…
Wachina na rekodi zao, cheki na smartphone inayokaa chaji siku 15.. (+Video)
Mawasiliano muhimu sana mtu wangu, ndio maana watu wengi wanaona umuhimu wa kuwa na smartphone ili mawasiliano ya njia nyingi yaweze kumfikia. Wataalam wa mambo wakaingia kazini na kubuni kitu kinaitwa…
Godzilla anayo furaha kukualika kusikiliza hii single yake mpya…-‘I get high’ (+Audio)
Ikiwa tunaelekea kuumaliza mwaka 2015, Leo Dec 15 msanii wa muziki wa Hip Hop Golden Mbunda a.k.a Godzilla amekuja na hii zawadi ya funga mwaka aliyoipa jina la 'I Get High' iliyotengenezwa…
Wabunge walioukataa Uwaziri, Mapigano ya wakulima, wafugaji, aliyevamia kwa MWINYI bila taarifa…#MAGAZETINI
MTANZANIA Wabunge wanne wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wametajwa kukataa uteuzi wa nafasi ya uwaziri ili kujaza nafasi za wizara nne zilizokuwa wazi, imebainika. Hatua hiyo imetokana na kile kilichoelezwa…
Kwanini Mr. Nice anafanya muziki kwa Nyodo? stori iko hapa….
Inawezekana kabisa haujamuona Mr Nice kumiliki zile chart za Top 20 za radio lakini hajakata tamaa ya kutafuta maisha ana mambo yake mengine anayoyafanya tofauti na muziki. Mr Nice anasema…
Zisikupite hizi stori kubwa 3 kutokea kwenye Amplifaya Dec 14, 2015
Amplifaya ni show inayosikika kuanzia Jumatatu mpaka Ijumaa kupitia Clouds FM kuanzia saa moja usiku mpaka saa tatu, ni show ambayo ina namba 10 muhimu zinazomilikiwa na habari, yaani habari…
Magazeti ya Tanzania December 15 2015 na stori zake kubwa kurasa za mwanzo na mwisho
Leo December 15 2015 nimekuwekea tena stori zote kubwa za Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye Udaku, michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu, usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook twitter na…
Inawezekana na gari lako ni Passo lakini halivutii kama haya mengine 6
Wanasema gari ni mtu mwenyewe, katika utafiti wa harakaharaka wa macho nimegundua miongoni mwa magari mengi yanayotumika na Watanzania sasa hivi ni pamoja na Passo ambayo inasifika kwa kuwa na…
Hizi ndio single mbili za Matonya zilizompa mkwanja mrefu katika maisha yake ya muziki…..
Ninajua nina watu wangu ambao mtakuwa na hamu ya kufahamu stori za wasanii waliokuwa wakitamba enzi zile, sasa hapa stori ninayotaka kukusogezea ni hii kutoka kwa msanii mkongwe wa Bongo…
First 11 ya muda wote katika historia ya soka, Maradona na C. Ronaldo wameachwa, Messi na Pele ndani …
Katika pita pita zangu mtandaoni nimekutana na hii mtu wangu, first eleven ya wachezaji bora wa muda wote katika historia ya soka. Yaani nimekutana na list ya wachezaji 11 ambao…