Ripoti ya kipindupindu iliyonifikia leo, hii imegusa kuanzia August 2015.. (+Audio)
Japo headlines za siasa zilionekana kubeba uzito mkubwa miezi michache iliyopita, bado kuna mengine yaliendelea kwenye upande mwingine ikiwemo ishu ya ugonjwa wa kipindupindu ambao umeendelea kuripotiwa kwenye mikoa mbalimbali…
Utani wa Baba Levo alipopanda Fuso na Msanii Roma Mkatoliki…(+Audio)
Baba Levo ni msanii wa bongofleva pia ni mchekeshaji ambaye huwa haishiwi maneno ya utani hususani kwa mastaa wenzake, leo kaja na hii ya siku alipopanda Fuso na Roma Mkatoliki. Bonyeza…
Kazi ya kwanza ya Mbunge Prof. Jay ndani ya siku 20 baada ya kuapishwa Bungeni Dodoma.. (+Pichaz)
Professor Jay ni mwana Hiphop kitambo sana hapa Tanzania, lakini jina lake lina uzito wake wa nguvu kabisa kiasi cha kwamba watoto, vijana, wazee na watu wazima walilifahamu jina lake...…
Duu!! mwanamitindo katimiza ahadi yake ya kuvua nguo baada ya Palmeiras kutwaa Ubingwa …(+Pichaz)
Headlines za Brazil kufanya vizuri katika soka zimekuwa kawaida sana ila siku hizi hii ni mpya kutoka kwa mashabiki wao, inashangaza kidogo, tumewahi kusikia Mrisho Ngassa akiahidi kama atashindwa kufunga…
Dakika 7 kwenye video ya CCM wakiongelea kasi ya Rais Magufuli…(+VIDEO)
Baada ya jana Dec 7, 2015 kamati kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kufanya kikao na Mwenyekiti wake Rais mstaafu Jakaya Kikwete, leo Katibu mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amefanya mkutano na waandishi wa…
Serikali imetoa ufafanuzi kuhusu maadhimisho ya siku ya Uhuru kesho..
Kesho tarehe 9 Dec. ni siku kuu ya Uhuru!! Rais wa awamu ya tano John Magufuli alitangaza badala ya siku hiyo kuadhimishwa kama ilivyozoeleka, wananchi waitumie kufanya usafi katika maeneo…
Kama wewe ni mchezaji soka, Kanye West kaja na Adidas Yeezy Ace kwa ajili yako (+Pichaz)
Mkali wa muziki wa Hip Hop kutoka Marekani Kanye Omari West ambaye amezoeleka kwa jina la Kanye West anazidi kuingia katika headlines kila kukicha mtu wangu, hii ni good news…
Dj Khaled aliziruhusu camera mpaka ndani kwake na kuwaonyesha chumba chake cha viatu..+ (Video)
Kwa wenzetu wa Marekani ni jambo la kawaida kwa wasanii kuonyesha mali walizonazo... wengine huziruhusu camera majumbani mwao na kuzipeleka chumba baada ya chumba, wengine hupenda kuonyesha magari yao huku…
Baada ya TRA kuifungia account ya shirikisho la soka Tanzania (TFF), imenifikia kauli ya TFF hapa …
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limesema tayari limeshaanza kufanya mazunguzo na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ili kufikia hatma ya akaunti yake kufungiwa. Kupitia kwa Afisa Habari wa Shirikisho hilo,…
Rick Ross amerudi kwenye headlines na hii Official Video ‘Crocodile Python’
Rick Ross ameisambaza kwako video ya ngoma yake mpya ya 'Crocodile Python' ambayo ipo katika album yake mpya ya Black market. Video yake imeongozwa na Ryan Snyders. Karibu uitazame hapa..…