Manne kutoka Jukwaa la Katiba >>> Mchakato wa katiba, mgogoro Z’bar, safari za nje…
Jukwaa la Katiba leo limekutana na wanahabari Dar es salaam na kuzungumzia mambo mbalimbali yanayohusu uchaguzi mkuu uliomalizika pamoja na mchakato wa katiba mpya. Mkurugenzi wa Jukwaa hilo Deus Kibamba…
Maneno ya kwanza ya Waziri Mkuu Majaliwa Kassim baada ya Bunge kumthibitisha.. (+Video)
Kikao cha Bunge kwa leo November 19 2015 kimemalizana na kile ambacho kilikuwepo kwenye Ratiba ya Bunge... kwanza ilikuwa ni kutajwa jina la Waziri Mkuu pamoja na kumthibitisha, hilo limekamilika...…
Video: Nikk wa Pili on air with Millard Ayo… hajaacha kitu kwenye hii
Nikki wa II ni rapper mwenye headlines zake ndani ya hiphop Tanzania na hits zake kama 'kiujamaa' na 'nje ya box' ambapo time hii alitembelea TZA kwenye studio za Millard…
David Beckham kamshauri Memphis Depay wa Man United kuhusu jezi namba 7
Katika soka baadhi ya namba za jezi uwanjani huwa zinaheshimika kubwa uwanjani na wakati mwingine unaweza kukuta klabu wameiweka jezi pembeni kwa sababu hawaoni nani ataitendea haki na kulinda heshima…
Vipi kuhusu AKA kufanya kazi na msanii wa kimataifa? Majibu yote yapo kwenye hizi #Tweets nne!
Muziki wa Africa kwa sasa ni muziki unaosikilizwa na kufuatiliwa na watu wengi sana duniani tukiacha Waafrika wenyewe. Miezi kadhaa iliyopita tumeshuhudia wasanii kama Swizz Beats na Alicia Keys wakipost…
Hii ndio zawadi ya Floyd Mayweather kwa mtoto wake aliyetimiza miaka 16…
Bondia maarufu zaidi duniani Floyd Mayweather haishiwi headlines kila wakati na mara nyingi zimekuwa zikihusisha utajiri wake. Kingine kutoka kwa staa huyo katika ukurasa wake wa @Instagram amepost picha akiwa…
Barua ya UKAWA kwa spika, Bomoa bomoa Dar, watoto waangukiwa na nyumba..#MAGAZETINI
NIPASHE Nyumba 17 zilizojengwa katika maeneo ya wazi zimebomolewa wilayani Kinondoni na halmashauri ya manispaa ya wilaya hiyo. Operesheni ya kubomoa nyumba hizo iliyoanza jana itafanyika kwa siku tatu mfululizo…
Dakika tatu za Spika Job Ndugai alivyopokea bahasha yenye jina la Waziri Mkuu mpya.. (+Video)
Kikao cha Bunge kimeendelea Dodoma leo November 19 2015, kikubwa kilichofanyika kwa siku ya leo ilikuwa ni kutajwa kwa jina la Waziri Mkuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa…
Billboard imetoa list ya rappers wakali duniani… lakini Snoop Dogg ameichukuliaje list hiyo!?
Baada ya mtandao wa Billboard kuachia orodha yao ya 10 Greatest Rappers Of All Time, kumekuwa na maneno mengi sana kwenye mitandao ya kijami kuhusu 2 Pac, Kanye West na…
Rick Ross anaisogeza nyingine mpya wiki hii, ‘2 Shots’ na video yake imenifikia! – (Video)
Tunazidi kuikaribia countdown kufikia uzinduzi wa Album mpya ya Rick Ross 'Black Market', Album inayotegema kuwa mtaani tarehe 4 December 2015, lakini kwa sasa rapper huyo anaendelea kuzisogeza videos kutoka…