Diamond Platnumz ana Tuzo nyingine tayari toka Italy MTV EMA 2015
Katikati ya mwezi September 2015 tuliipata good news kwenye kiwanda cha Muziki Tanzania, East Africa na Africa kwa ujumla ambapo list ya wakali wa muziki wanaowania Tuzo za MTV EMA…
Full Time ya FC Barcelona Vs Eibar October 25 (+Pichaz&Video)
Real Madrid na FC Barcelona ni wapinzani wa jadi mara nyingi huwa wanafuatana katika msimamo wa Ligi kama Madrid akiwa na nafasi ya kwanza basi FC Barcelona atakuwa nafasi ya…
Full Time ya Liverpool Vs Southampton October 25 (+Video&Pichaz)
Licha ya kuwa mechi ya Manchester United dhidi ya Manchester City ilikuwa ya kuvutia zaidi kwa Ligi Kuu Uingereza katika mechi zilizochezwa leo October 25, mechi kati ya Liverpool dhidi…
Mambo matano ya kufahamu kutoka Tume ya Uchaguzi sasahivi ikiwemo utoaji wa matokeo… (Sauti)
Baada ya kuisha kwa zoezi la kupiga Kura lililofanyika leo October 25 2015, najua kila Mtanzania atakuwa na hamu ya kuyapata matokeo. Lakini zipo taarifa nilizozipata kutoka Tume ya Taifa…
Full Time ya Man United Vs Man City na matokeo ya mechi nyingine za October 25 (+Video&Pichaz)
October 24 Ligi Kuu soka Uingereza iliendelea kwa michezo kadhaa kupigwa, huku mashabiki wengi wa soka wakiendelea kusubiria mechi ya watani wa jadi Manchester United dhidi ya Manchester City. Hii…
Top 20 ya kwanza mastaa wa Bongo waliothibitisha kupiga Kura leo October 25 Tanzania.. +Pichaz
Tunaelekea kuufunga ukurasa wa stori za Uchaguzi Mkuu Tanzania October mwaka 2015, lakini ukurasa huo hautofungwa mpaka Wagombea Udiwani, Ubunge na Rais anaepokea nafasi ya Rais Jakaya Kikwete watangazwe. Tumewaona…
Rais JK amepiga Kura Chalinze na hii ndio mipango yake akistaafu… (Picha+Sauti)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete nae ameungana na Watanzania kuhakikisha anatimiza haki yake kama Raia wengine kwa kupiga Kura yake kuchagua Madiwani, Wabunge na Rais anayemrithi. Kuna vituo vya TV vinarusha…
Hiki ndio walichokisema Edward Lowassa na Dk. John Magufuli baada ya kupiga Kura October 25.. (+Pichaz)
Tanzania inaandika Historia kubwa kwa mara nyingine leo October 25 2015 ambapo watu wote walioandikishwa na kuthibitishwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC wanaendelea kupiga Kura katika maeneo mbalimbali.…
Hali ilivyo leo Dar es Salaam October 25 baada ya watu kwenda kupiga Kura… (Picha)
Leo October 25, 2015 ndio siku ambayo kila mtanzania ana haki ya kumchagua kiongozi ambaye atakayeongoza au atakayeyatimiza yale mwananchi anayoyataka kwenye huduma mbalimbali. Sasa basi ripota wa millardayo.com amepita…
October 25 2015 siku ya Uchaguzi Mkuu Tanzania, Magazeti yameamka na hizi stori kubwa leo..
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumapili October 25 2015, tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Dini, Michezo na…