Tayari ninayo matokeo ya mechi ya African Sports Vs Simba (+Pichaz)
September 12 ndio siku ambayo pazia la Ligi Kuu Tanzania bara limefunguliwa kwa michezo kadhaa kupigwa katika viwanja tofauti tofauti, mchezo uliyokuwa umeteka hisia za watu wengi ni mechi kati…
Matokeo ya Chelsea vs Everton nimekuwekea hapa
Baada ya mapumziko ya takribani siku 14, ligi kuu ya England maarufu kama Barclays Premier League imeendelea mchana wa leo kwa mchezo mkali kati ya Chelsea dhidi ya Everton. …
First Eleven ya African Sports Vs Simba (+Pichaz)
Dakika kadhaa kabla ya mchezo kuanza nakusogezea first eleven ya timu zote mbili. African Sports mwenyeji wa mchezo huu Yusuph Yusuph 30 Ayoub Masoud 2 Mwaita Gereza 21 Juma Shemvuni…
Pichaz za mwanzo kutoka uwanja wa Mkwakwani Tanga African Sports Vs Simba
September 12 ni siku ambayo Ligi Kuu Tanzania bara itazinduliwa rasmi kwa michezo kadhaa kupigwa, lakini millardayo.com inakuweka karibu na moja kati ya michezo ya Ligi Kuu. African Sports ya…
Ninayo mpya kabisa kutoka kwake K.O; ‘One Time’ .feat. Maggz na wengine. (Video)
Headlines za burudani weekend hii zinawekwa na Mr Cashtime maarufu kama K.O kutoka South Africa... Baada ya kushirikishwa kwenye collabo ya mtu wetu Vee Money Vanessa Mdee sasa K.O amerudi…
Alikuwa na ndoto ya kuwa staa mkubwa wa movie Nigeria, akaenda kwa mganga, kilichotokea..!?
Kuwa na ndoto kubwa ni kitu kizuri sana, lakini juhudi za jinsi gani tutatimiza ndoto zetu sio sawa kwa watu wote, wengine wanaamini kupiga kazi mpaka mpale juhudi za kazi…
Serena Williams apoteza ushindi kwenye mechi ya U.S Open, Drake alaumiwa…!!
Staa wa mchezo wa Tennis, Serena Williams na superstaa wa muziki wa Hip hop Drake wamekuwa topic kwenye mitandao mingi baada ya tetesi nyingi kusambaa kuwa wawili hao wapo kwenye…
Wanawake 30 walikamatwa kwa kosa la kujiuza Nigeria, hukumu yao ni hii toka Mahakamani !!
Vitendo vya Wanawake kufanya biashara ya kujiuza sio story ngeni kukutana nayo, nchi zimekuwa na maamuzi tofauti kuhusu kesi ya Wanawake wanaofanya Biashara hiyo, Ujerumani hiyo ni biashara halali na…
Ratiba ya Sept 12 na 13 ya Ligi Kuu Tanzania, Uingereza, Hispania na Italia zipo hapa mtu wangu…
Baada ya mapumziko ya mechi za kimataifa, weekend ya September 12 na 13 kuna michezo za kadhaa ya Ligi Kuu mbalimbali inachezwa huku kwa Tanzania September 12 ndio siku ya…
Chris Brown alitaka haki zote juu ya mtoto pia, je kafanikiwa!? Mahakama imeamua haya…
Baada ya mgogoro mrefu kati ya Chris Brown na mama wa mtoto wake Nia Guzman sasa Mahakama ya Houston imetoa maamuzi na utaratibu wa jinsi ya kukaa na mtoto Royalty…