Kama ulikuwa shabiki wa Marehemu Aaliyah, karibu ujue kingine kizuri kilichokuja kwa jina lake kabisa ..!!
Kwenye Album ya Staa wa Marekani, Chris Brown ambayo ilitoka mwaka 2014 akaipa jina la 'X', kuna hit single ya 'Don't Think They Know' ambayo producer wa Chris alifanya mautundu…
Rihanna asema hawezi kufanya wala kusindikiza shows za Taylor Swift… je, kuna tatizo lolote kati yao!?
Baada ya kuachia album yake iitwayo '1989' msanii wa muziki wa Pop R&B nchini Marekani, Taylor Swift amekuwa akiweka headlines nyingi sana kuanzia kwenye ushindi wa tuzo na pia hata…
Collabo nyingine ya Lil Wayne Feat.Christina Milian isikupite weekend hii mtu wangu
Headlines za burudani kwa sasa kuhusu mastaa hawa Christina Milian na Lil Wayne zinazungumzia kuvunjika kwa mahusiano yao. Pamoja na hayo mastaa hao wameachia single yao mpya inayoitwa 'Do It' .…
Baba mlemavu alivyobuni njia nyingine kumbeba mtoto wake wakiwa kwenye matembezi.. (Pichaz & Video)
Baba na love ya nguvu kwa mtoto wake, akaona hata iweje.. kama akihitaji kuingia town na mtoto wake anakatisha nae fresh kabisa japo ana ulemavu wa miguu !! Pichaz na…
Mtikila na Ikulu, Uchaguzi TZ.. Magufuli na Lowassa !! mabasi ya mwendokasi ?? (Audio)
Asubuhi ya Ijumaa tarehe 18 September 2015 imeanza na uchambuzi wa magazeti @CloudsFM zipo nyingi zilizosikika leo kwenye #PowerBreakfast na kama nyingine zilikupita unaweza ukapitia hapa. Umoja wa EU umesema…
Taarifa kutoka jesho la polisi kuhusu tathmini ya Uchaguzi 2015…
Tukiwa bado kwenye headlines za uchaguzi 2015 tunaungana na jeshi la polisi kutupata tathmini ya matukio yalitokea kwenye kipindi hiki cha Uchaguzi. Akiongea na waandishi wa habari, msemaji wa jeshi…
Magazeti ya Tanzania Septemba 18, 2015.. Udaku, michezo na hardnews !
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Ijumaa Septemba 18, 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews, zote ziko…
Beki wa Manchester United kufanyiwa upasuaji kwa mara ya pili (+Pichaz&Video)
Beki wa klabu ya Manchester United Luke Shaw ambaye alivunjika mguu katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya klabu ya PSV Eindhoven ya Uholanzi, anatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa pili siku…
Pichaz za Jay Z, Beyonce na mtoto wao wakienjoy katika boti ya kifahari zipo hapa…
Jay Z na Beyonce ni miongoni mwa couple zenye nguvu zaidi, wasanii hao maarufu wamepigwa picha wakiwa na mtoto wao wa miaka 3 Blue Ivy katika boti ya kifahari ambayo…
Hadi kufikia June 2013 haya ndio yalikuwa maajabu 10 ya Dubai (+Pichaz)
Miongoni mwa sehemu nzuri na zakuvutia kutembelea katika hii Dunia basi Dubai haiwezi kukosa, Dubai unatajwa kuwa mji wa kitalii na kibiashara, wengine wanautaja kama pepo ya watalii. Mji huo umejengeka…