Pichaz 16 za uzinduzi wa kampeni Zanzibar zipo hapa mtu wangu
September 9 Kutoka visiwa vya Unguja Chama cha wanainchi (CUF) kimefanya uzinduzi rasmi wa kampeni na kumnadi mgombea Urais 2015 Maalim Seif Sharif Hamad katika viwanja vya Kibandamaiti …
Hizi ni taarifa nyingine mbaya kwa Emmanuel Adebayor katika timu yake ya taifa…
Mshambuliaji wa klabu ya Tottenham Hotspur na timu ya taifa ya Togo Emmanuel Adebayor bado yupo katika wakati mgumu katika maisha yake ya soka. Adebayor jina lake halipo katika list…
Maneno ya Kalapina kuhusu pingamizi alilolipata dhidi ya mgombea mwenza…
Tukiwa bado tuko kwenye headlines za uchaguzi 2015 time hii nakusogezea stori kutoka kwa msanii wa Hip Hop Kalapina ambaye ni mgombea wa Ubunge jimbo la Kinondoni Dar es Salaam.…
Wande Coal kaja na hii Video nyingine ‘Same Sh*t’ Feat. AKA
Staa wa Nigeria Wande Coal ameachia Video ya ngoma yake mpya 'Same Sh*t' ndani akiwa amemshirikisha rapper kutoka Afrika Kusini AKA. Nakukaribisha hapa kuitazama. https://www.youtube.com/watch?v=-wgnyGcHd8o PAPO KWA PAPO zipate…
Good news nyingine kwa timu zitakazoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2015/2016.
Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF pamoja na afisa mtendaji mkuu wa bodi ya Ligi Boniface Wambura wametangaza September 9 kuingia katika makubaliano ya udhamini na mfuko wa Bima…
Ebola imesahaulika Sierra Leone? Hapana, haya ni mengine kutoka huko…
Moja ya matukio ambayo yaliibuka na kutikisa Dunia ilikuwa ni ishu ya Ugonjwa wa Ebola, haikuwahi kushuhudiwa Ugonjwa ambao umesababisha vifo vya watu wengi kama Ebola ilivyofanya ndani ya kipindi…
Ugomvi wa Young Killer na Edo Boy umefikia hapa…#Uheard (Audio)
Ugomvi wa Young Killer na Edo Boy umezidi kuchukua nafasi..leo Edo Boy amezungumzia na Soudy Brown na kusema alikua akipita zake na kushangaa Young Killer anamuita na kuanza kumtukana matusi.…
Kama imekupita na hujaiona bado, nimeileta kwako ‘Rap Star’ mpya ya kwake Tyga. (Video).
Tyga amekuwa akifululiza sana kutoa videos, kila baada ya wiki chache staa huyo anasogeza kwetu ngoma mpya. Wiki hii Tyga anaileta kwetu 'Rap Star' video yake ipo hewani tayari na…
Wiz Khalifa na Snoop Dogg wanaisogeza kwako collabo yao mpya kabisa; ‘No Social Media’ – (Audio).
Wiz Khalifa kwenye headlines, baada ya kutoa 'video teaser' ya movie yake mpya siku chache zilizopita msanii huyo amerudi kutupa burudani. Umeshawahi kuwaza collabo ya Wiz Khalifa na Snoop Dogg…
Meek Mill kwenye nafasi nyingine ya juu Marekani…
Baada ya album yake 'Dreams Worth More Than Money' kushika namba moja kwenye chati ya Billboard 200 July 5 mwaka huu, rapper Meek Mill anaendelea kuweka headlines na wimbo wake…