Magazeti ya Tanzania Septemba 8, 2015.. Udaku, michezo na hardnews !
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumanne Septemba 8,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews, zote…
Siku moja baada ya ushindi, Lewis Hamilton kaonesha pichaz za gari lake la kifahari (Pichaz)
Bingwa wa mbio za magari ya Formula One Lewis Hamilton ameonekana akiwa na gari la kifahari kitu kinachotafsiriwa kama sehemu ya kusherehekea ubingwa wake wa hivi karibuni. Hamilton alishinda ubingwa wake…
Mambo yameiva EURO 2016, kikosi cha Uingereza watafikia hoteli hii ya kifahari.. (+Pichaz)
Ni kawaida sehemu ambayo hutarajia kupokea watu wengi katika kipindi fulani, bidhaa na vitu vingine hupatikana kwa gharama za juu sana, kutokana na mkusanyiko wa watu wengi na kama unahitaji…
Nimekusogezea list ya viongozi wanaolipwa pesa nyingi duniani…
Ninayo list ya viongozi wa mataifa mbalimbali duniani wanaoongoza kwa kulipwa pesa nyingi , taarifa ikufikie kwamba anayeshika nafasi ya tano ni Michael D. Higgins ambaye ni rais wa jamhuri…
Hii ndio Shopping Mall iliyopewa jina la rais Jakaya Mrisho Kikwete 88.1 (Mwanza)
Stori ninayokusogezea sasa hivi ni hii kutokea 88.1 Mwanza kuhusu Shopping Mall mpya inayotarajiwa kufunguliwa wakati wowote ambayo itakuwa ikiitwa jina la rais wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya…
Vincent Kompany kamchezea faulo binti yake Sienna (Video)
Vincent Kompany amezaliwa kuwa mshindi na kiongozi katika mchezo wa soka, Kompany ambaye ni nahodha wa klabu ya Manchester City pamoja na hayo, Kompany ni baba wa familia na anapenda kucheza na…
Diamond Platnumz ametaja tarehe atakayoonekana sura mtoto wake (Tiffah)
Kama umekua ukifuatilia akaunti za Diamond Platnumz na mpenzi wake Zari tangu mtoto wao Tiffah azaliwe utakua umekutana na picha nusu ambayo anaonekana mtoto wao huyo na sehemu kubwa hua ni…
Baada ya kumaliza beef na Drake, Meek Mill anamtafuta Future…!?
Meek Mill kwenye headlines kwa mara nyingine tena, na kwa muonekano inaonekana kama Meek Mill bado hajatosheka na beefs na pengine time hii anataka kuanzisha beef lingine na msanii mwenzake…
Steven Gerrard akiwa na familia yake, moja kati ya sehemu zinazotajwa kuwa na furaha duniani (Pichaz)
Kiungo wa kimataifa wa Uingereza na klabu ya LA Galaxy ya Marekani Steven Gerrard ameingia katika headlines baada ya kwenda kuenjoy na familia yake Disneyland. Gerrard na mkewe pamoja na mabinti…
Nuru The Light karudi na video yake mpyampya, inaitwa ‘L’… ni kazi ya Director Adam Juma…
Nuru The Light ni moja ya mastaa ambao wana nafasi zao kutambulika kwenye muziki wa Bongo Fleva, kuna kipindi kirefu hajasikika... haikumaanisha kauacha muziki. Nuru anarudi tena, muziki una mchakamchaka…