Hemedy PhD atawataja warembo wake? Navy Kenzo Feat. Pah One? Skywalker na wimbo wa Dr. Dre… #255
Kutoka Dar es Salaam Tanzania, story ya kwanza kwenye zilizosikika kwenye 255 wakati show ya XXL ikiwa hewani, inamhusu Skywalker, kuhusu yeye leo ni ishu ya kubadili wimbo wa Dr.…
Maneno ya Edward Lowassa baada ya kuchukua Fomu ya Urais NEC kwenye video ya dakika 28
Tumeshuhudia pichaz na video zilizonaswa jana kwenye msafara wa Mgombea Urais UKAWA, Edward Lowassa na wenzake walivyotoka Makao Makuu ya CUF Buguruni mpaka Posta kwenye Ofisi za NEC kwa ajili…
Jux Feat Joh Makini- “I’m Looking for You” (Video)… Exclusive inaanzia kwenye TV station kubwa Africa leoleo…
Msanii wa Bongo Flava Jux anaziandika headlines kwenye kurasa za burudani, Jumanne hii August 11 2015 good news ni kwamba saa kumi na mbili jioni kwa saa za Afrika Mashariki video…
Ni headline baada ya headlines.. hii ni nyingine kutoka kwa Miss Tanzania 2012
Shirikisho la Ngumi za kulipwa la Afrika (IBF Africa) kwa kushirikiana na Taasisi ya Miss Tanzania 2012, Brigitte Alfred Foundation (BAF) wameandaa mapambano ya ngumi ya kimataifa kwa kushirikisha mabondia…
Umeipata hii ya joto kali lililoyeyusha mpaka gari? Nimeisogeza toka Italy… (+Video)
Stori za joto kuongezeka kipindi hiki sehemu mbalimbali duniani zimekuwa zikichukua headlines kubwa sana, ilianza Dubai joto lilipanda mpaka nyuzi 38, tukasikia Uingereza nako nyuzijoto liligonga 40 ikaja India pia…
Unaambiwa hizi ndio kazi za hatari zaidi duniani…
Kuna msemo unasema 'acha kazi uone kazi kupata kazi'..na kila mmoja anapaswa kuheshimu na kupenda kile anachofanya. Lakini kuna hii list ambayo imetolewa kuhusu kazi ambazo ni hatari zaidi kufanya…
Video ya msafara wa Lowassa barabarani mpaka ofisi za Tume ya Uchaguzi kuchukua Fomu ya Urais
Timu ya millardayo.com ilikusogezea updates zote kila kilichokuwa kinaendelea August 10 2015 katikati ya Dar es Salaam, ilikuwa ni msafara kuanzia Buguruni, kupitia Ilala Kariakoo mpaka Posta kwenye Ofisi za…
Mbowe augua ghafla, Magufuli na ushindi wa Tsunami na matokeo yatangaziwa Polisi..#StoriKubwa
MWANANCHI Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema anayewakilisha vyama vinavyounda Ukawa, Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amesema maelfu ya wananchi waliojitokeza kumsindikiza wakati akienda Tume ya Taifa ya Uchaguzi…
Lowassa alivyotikisa Dar… Sheria ya Uhalifu wa Mitandao? Dk. Bilal kuhusu kuhama CCM? Dk. Magufuli na CCM? (Audio)
Kutoka kwenye Magazeti ya Jumanne 11 August 2015 hapa nina Uchambuzi wa Stori kubwakubwa za leo mtu wangu. Dk. John Magufuli asema ushindi wa CCM upo palepale, waliohama wamekiacha Chama salama…
Magazeti ya Tanzania Agosti 11, 2015.. Udaku, michezo na hardnews !
Good morning mtu wangu.. Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumanne Agosti 11,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo…