Kuna hii ya Bushoke na sahani za Ikulu uliipata??Ninayo hapa…
Katikati ya wiki iliyopita wasanii wa Tanzania walipata nafasi ya kupata chakula cha jioni na Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete kwa ajili ya kumuaga na kumshukuru kwenye kipindi cha uongozi wake wa miaka 10…
Mfahamu mwafrika pekee aliowahi kutwaa Tuzo ya mchezaji bora wa dunia (Ballon d’or)
Ni kawaida kwa binadamu kufanya au kujifunza kitu zaidi ya kimoja lakini huwa ni watu wachache sana wanaoweza kuvimudu vyote kwa ufasaha, kwa rekodi tu wachezaji wote wanaotajwa kuwa bora duniani…
Pah One wako tayari kufanya kazi na Navykenzo tena??yamezungumzwa haya…
Kabla ya kuzaliwa Navykenzo kulikua na kundi moja ambalo liliwaunganisha wakali hawa sehemu moja kundi hilo ni Pah One baadae kundi likagawanyika na kutengeneza makundi mawili,Pah One waliwahi kuingia kwenye…
Kwenye Nane Nane ya 2015,Rais J Kikwete kalifanya na hili pia Mtwara.
Sherehe za Nane Nane 2015 Kitaifa zilikua Mkoani Lindi na zilipata heshima ya kuwa na Rais Jakaya Kikwete pamoja na Waziri wa Ujenzi Dr.John Magufuli ambapo mbali na kuwa mgeni…
LIPUMBA ajificha Burundi, watalaka nje ya ndoa ruksa na JK,LOWASSA,MAGUFULI,MBOWE kukutana..#StoriKubwa AUGUST 9
MTANZANIA Wanasiasa wananchi mashuhuri nchini walioko katika kambi zenye upinzani mkubwa wa kisiasa watakutana jumatano Mkoani Kilimanjaro. Wanasiasa hao ambao ni Rais Kikwete, mgombea Urais Dk. MAGUFULI, LOWASSA pamoja…
Magazeti ya Tanzania Agosti 9, 2015..michezo na hardnews !
Good morning mtu wangu.. Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Alhamisi Jumapili Agosti 9,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku,…
Zinazotajwa kuwa picha 10 kali za ufunguzi wa Ligi Kuu Uingereza ziko hapa
Baada ya muda mrefu wa mapumziko kwa Ligi mbalimbali Duniani, sasa tunarudi tena kwa mwanzo wa msimu mpya wa Ligi Kuu Uingereza ambao umeanza August 8 kwa michezo kadhaa kupigwa…
Goli la Simba umeliona vs SC Villa ya Uganda? ninayo video hapa !
Mpambano uliokuwa unasubiriwa kwa hamu ni kati ya Simba na SC Villa ya Uganda, mchezo ambao ulimalizika kwa Simba kushinda kwa goli 1-0 goli pekee lilifungwa na Awadh Juma dakika…
Hiki ndicho kilichotokea Simba Day nimekusogezea (Picha&Video)
Klabu ya soka ya Simba ambayo huwa na utamaduni wa kuadhimisha siku ya Simba kila mwaka ila kwa mwaka huu ilikuwa ni tofauti na siku zote kwani kwa mwaka huu…
Full time ya Chelsea vs Swansea City na matokeo mengine ya EPL nimeweka hapa
Baada ya Manchester United na Tottenham Hotspur kufungua dimba la mechi za ligi kuu ya Barclays Premier League - Mabingwa watetezi wa kombe hilo Chelsea nao jioni hii walianza utetezi…