CHADEMA na mgombea Urais leo, Raila Odinga aivulia kofia Z’bar, madereva kupigwa faini na kunyang’anywa leseni? (Audio)
Ninazo stori kubwa zilizochambuliwa redioni on air mtu wangu, James Lembeli atangaza sababu zilizomtoa CCM kuwa ni mizengwe na rushwa, kaamua kuhamia CHADEMA. Tundu Lissu amtaja mgombea Urais UKAWA, CHADEMA yaamua leo kumtangaza…
Stori zote zenye uzito kwenye #Magazeti 18 ya Tanzania #JULY222015 ziko hapa, Udaku, Michezo na Hardnews
Good morning mtu wangu.. Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumatano July 22 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti…
Je Muller atamfuata Schweinsteger Man Utd? Philip Lahm amejibu hapa..
Nahodha Bayern Munich Philipp Lahm, amezungumzia tetesi za usajili zinahusu wachezaji kutoka kwenye klabu yake ya Bayern Munich. Baada ya Bastian Schweinsteiger kwenda Manchester United, sasa taarifa mchezaji Thomas Müller…
Sentensi nyingine 22 za Faiza Ally kuhusu mavazi yake, mtoto, dini, umaarufu.. anajuta? (Audio & Pichaz)
Kama uko karibu na stori za TZ najua hautakuwa umesahau kuhusu ishu ya Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi 'Sugu' na mzazi mwenzake, Faiza Ally.. Mbunge huyo hakuridhishwa na mavazi…
Irene Uwoya achukua fomu ya kugombea ubunge 2015
Baada ya kuona mastaa mbalimbali wakiendelea kujitokeza katika kuchukua fomu za kuwania ubunge 2015 kwaajili ya kutetea haki za wananchi wao, sasa good news ninayotaka kukusogezea ni hii ya mwigizaji…
Kama ulipitwa, huu ndio uthibitisho mwingine wa Godwin Gondwe kugombea Ubunge Mwanza..
October 25 2015 ni siku ya Uchaguzi Mkuu ambapo Watanzania watachagua Rais, Wabunge na Madiwani.. sababu hiyo pekeyake inatosha kutufanya tusikwepe kabisa kukutana na stori za kisiasa Tanzania !! Idadi…
Hizi ndio sababu zilizofanya Saed Kubenea agombee Ubunge, na ajiunge CHADEMA… (Audio & Pichaz)
July 21 2015 siku imebebwa na headlines nyingine za Siasa, jina la Saed Kubenea linafahamika na watu wengi kwa sababu yeye ni mmoja ya Wanahabari wakubwa sana Tanzania, lakini leo…
Picha 33 zikionesha Barabara, kituo cha abiria na Daladala zinazotumika hapa Johannesburg
Siku zote sitoacha kukusogezea stori zinazonifikia mtu wangu, ikiwa bado nipo kwenye jiji la Johannesburg Afrika Kusini na hapa nimekuwekea picha 31 zikionesha barabara zao pamoja na Daladala zinazotumika kubebea…
Mtoto huyu ameweza kuishi kwa miaka 12 na virusi vya Ukimwi bila kutumia dawa yoyote!
Nimekutana na stori mmoja kutoka Ufaransa inayomhusu mtoto wa miaka 18 aliyeweza kuishi na Ukimwi kwa miaka 12 bila kutumia dawa zozote wala vidonge vyovyote vya ARV. Kitendo hiki kimeweka…
Matokeo haya yamezisogeza Azam FC na APR ya Rwanda kwenye hatua ya Robo Fainali Kagame Cup 2015
Michuano ya klabu bingwa Afrika Mashariki na kati Kagame CUP imeendelea leo kwa michezo kadhaa kupigwa. Michuano hiyo ambayo ina makundi matatu A, B na C. Timu za APR ya…