Serena Williams aipeperusha bendera ya Marekani kwa mara nyingine tena!!
Nimepata stori kutoka Uingereza masaa kadhaa yaliopita, ambako mchezaji maarufu wa Tennis duniani Serena Williams anaziandika headlines za leo kwenye ukurasa wa michezo. Serena Williams leo amecheza mechi ya mwisho…
Hawa ndio watatu kwenye Urais wa Tanzania waliopitishwa na CCM
Updates kutoka Dodoma July 11 2015 ziko kila wakati, na zinazonifikia tu na mimi nazisogeza kwako ili usipitwe, tuliifahamu TOP 5 ya Wagombea Urais wa CCM, tatu bora je? Mitandaoni…
Matukio ni mengi nje ya Ukumbi wa CCM Dodoma, cheki na haya mengine… #Pichaz
Majibu ya tatu bora kutoka kwenye list ya tano bora ya Wagombea Urais wa CCM tutayajua leoleo JULY 11 2015 kutoka hapahapa Dodoma. Niko na wewe mtu wangu kwenye kila…
#NewUPDATE Kuhusu mchujo mwingine wa Urais CCM Kinachoendelea sasa hivi.
Ni mamilioni ya Watanzania wanasubiria kujua mchujo wa wanaowania Urais CCM umefikia wapi baada ya tano bora kutangazwa saa kadhaa zilizopita ambako wametajwa Bernard Membe, January Makamba, Asharose Migiro, John…
Unadhani Steven Nyerere amekurupuka kuutaka Ubunge Kinondoni? jibu liko hapa
Ni mwigizaji kutoka kwenye kiwanda cha bongo movie ambako pia amekua akikitumia kipaji chake cha uchekeshaji kwenye majukwaa mbalimbali na sasa anautaka Ubunge kupitia ticket ya CCM 2015. https://www.youtube.com/watch?v=enXf2awUIzs Ungana…
Video za Edward Lowassa, William Ngeleja, Bernard Membe, January Makamba baada ya mchujo wa majina matano..
Bado watu wanasubiri kusikia jina la mgombea urais ambaye atatajwa na CCM, kikao kimeendelea na bado jina halijatajwa ambapo nimefanikiwa kupata video za hawa wanne mbele ya camera na vinasa…
Breaking News: Bastian Schwesteiger athibitishwa kwenda Man United – aweka rekodi hii
Klabu ya Manchester United imekubaliana kimsingi na mabingwa wa Bayern Munich juu ya usajili wa kiungo wa timu ya taifa ya Ujerumani Bastian Schweinsteiger. Bastian, mwenye umri wa miaka 30,…
Ukiingia hapa utaweza kuona LIVE kinachoendelea Ndani ya Ukumbi ambao Kikao cha CCM kinafanyika
Najua wapo ambao wako mahali ambapo hawezi kusikiliza TV wala kuangalia Radio ili kujua kinachoendelea Makao Makuu ya CCM Dodoma sasahivi, kimefanywa hiki kitu rahisi kabisa ili kama una simu…
Picha nyingine kinachoendelea mchana huu hapa Dodoma kwenye Kikao cha CCM
Kikao cha Halmashauri Kuu kimeendelea sasa hivi kwa zaidi ya saa nne hapa Makao Makuu ya CCM Dodoma, viko vitu vingi vinaendelea nje ya Ukumbi... wapo wanaoimba na kushangilia, wengine…
Ronaldinho, Eto’o na Valdes kucheza timu moja?, stori iko hapa
Wachezaji wa zamani wa Fc Barcelona ya Hispania Ronaldinho Gaucho na Victor Valdes uwenda wakaungana na mchezaji mwenzao wa zamani wa klabu hiyo Samuel Eto'o nchini Uturuki. Story inayovutia wapenzi…