Nguvu za giza zilianzia kwenye ndoto, Mbunge Joshua Nassari anaeleza alivyoanguka na hii Helicopter
July 7 2015 zilitoka taarifa za ajali ya Helicopter iliyokua imebeba Wanachadema Arusha akiwemo Mbunge Joshua Nassari wa Arumeru Mashariki, millardayo.com imepata nafasi ya kuongea nae akiwa hospitali. https://www.youtube.com/watch?v=hYKHqpj8O3Y Ungana…
Beef ya Producer Manecky na Diamond Platnumz ilivyomalizwa.
Kwa miaka isiyozidi miwili hakukuwa na amani kati ya Producer wa AM Records Manecky na mwimbaji wa bongofleva Diamond Platnumz na ni baada ya Manecky kushutumiwa kuvujisha nyimbo za Diamond…
JULY 9 2015 stori zote kwenye Udaku, Hardnews na Michezo Tanzania ziko kwenye haya Magazeti
Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapa millardayo.com kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako Magazeti mbalimbali ya Tanzania na habari zake kubwakubwa…
Usitarajie Super Nyamwela aanzishe bendi yake…
Najua nina watu wangu ambao wana ndoto zao za baadae juu ya maisha yao sasa hapo ninakukutanisha na mwimbaji na mnenguaji wa muziki wa densi nchini, Hassan Mussa aka Super…
Christian Bella katangaza hajitoi kwenye tuzo, ila….
Mwimbaji kutokea muziki wa dansi, Christian Bella ameongea kwenye AMPLIFAYA ya Clouds FM July 8, 2015 na kuthibitisha kwamba kukosa tuzo sehemu yoyote au kwenye tuzo zozote haitampelekea yeye kujiondoa…
Microsoft inasimamisha kazi watu zaidi ya 5,000… Sababu ni hii iliyotajwa hapa !!
Kampuni ya Microsoft (MST Tech 30) ni miongoni mwa kampuni kubwa za teknolojia duniani, wakiwa ni watengenezaji wakubwa wa bidhaa za kompyuta na simu duniani. Kampuni ya Microsoft ilikuwa na wafanyakazi…
Maneno ya Mbunge Mohammed Dewji alipokuwa akiaga watu wake Singida Mjini
Leo July 08 2015 zimebaki saa chache kushuhudia Rais Jakaya Kikwete akivunja Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wapo waliotangaza kwamba wanarudi Majimboni mwao kuomba tena Kura ili Uchaguzi…
Mapyamapya barabara za mabasi ya mwendokasi Dar es salaam (Pichaz)
Katika pitapita zangu leo nikakutana na hawa jamaa wanaotengeneza Traffic lights maeneo ya Morogoro road, kiukweli panapendeza sana. Siku chache zilizopita kiongozi wa kampuni ya Strabag aliongea kupitia TBC1, akaeleza kuwa…
Picha za Waislamu China wanavyoshiriki pamoja kwenye Futari!
Futari ni mlo ambao waislamu wengi hushirikiana kwa pamoja wakati wa jioni katika kipindi cha mfungo kwenye kipindi hiki cha Ramadhan... Kutokana na utaratibu ulivyo Futari huwa inaliwa wakati wa jioni.…
Huu ndio ugeni wa Rapper AKA kutoka South Africa na mpenzi wake DJ Zinhle…
Rapper wa Afrika Kusini AKA aliwahi kuja TZ na kupiga show ya nguvu kwenye Zari All White Party.. hapo jina lake likaingia kwenye headlines kubwa hata ambao walikuwa hawamfahamu wakamjua pia.…