Pep Guardiola kuifudisha Timu ya Taifa Brazil? Hiki ndio kilichomwangusha !!
Pep Guardiola ni Kocha ambaye anaifundisha Klabu ya Bayern Munich, kwani ana mpango wa kuifundisha Timu yoyote ya Taifa? Dani Alves kafungua haya mengine yaliyokuwa kwenye moyo wa Kocha huyo.…
Hawa ndio waliokamatwa kuhusika na mauaji na kuwafanyia vurugu wageni South Africa..
Kwa kipindi cha kama miezi miwili katikati ya March na May 2015 hali haikuwa nzuri Afrika Kusini, Xenophobia ilikuwa janga jingine kubwa lililoathiri wageni wengi ndani ya nchi hiyo. Kulikuwa…
Unaambiwa hii ndio ‘Panya’.. Video mpya kutoka kwa Bracket Feat. Tecno
Kundi la Bracket kutoka Nigeria waliachia ngoma ya 'Alive' Feat. Diamond Platnumz & Tiwa Savage.. ni hit ambayo ilishika sana kwenye TV na radio kubwa Afrika. Jamaa wamerudi tena mtu wangu, wameachia…
Mgombea Ubunge na nyoka kwenye gari, ajali ya Mbunge Nassari na Presha ya CCM…#MAGAZETINI JULY8
MWANANCHI Homa ya Uchaguzi Mkuu imeifanya Chadema kuitisha kikao cha dharura cha Kamati Kuu ili kujadili mambo ya kitaifa, ikiwamo adhabu waliyopewa wabunge wa Ukawa kabla ya kutoa tamko. Kikao…
Rais JK kuvunja Bunge, Tido Mhando na Wema Sepetu kuwa Mawaziri!? Wageni Dodoma je?>>>Stori Kubwa (Audio)
Ni Jumatano nyingine tena na inawezekana uchambuzi wa magazeti leo kupitia @CloudsFM ulikupita, hiki ndio nilichokipata kwenye Uchambuzi wa stori kubwa za Magazetini. Rais JK anatarajia kulihutubia na kulivunja Bunge kesho July…
JULY 8 2015 stori zote kwenye Udaku, Hardnews na Michezo Tanzania ziko kwenye haya Magazeti
Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapa millardayo.com kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako Magazeti mbalimbali ya Tanzania na habari zake kubwakubwa…
Kuhusu pengo la Mrisho Ngassa kwa Yanga FC, Hamis Tambwe kayasema haya
Kwa watu wangu wa soka la Tanzania kama topic ya Pengo la mchezaji Mrisho Khalfan Ngassa kuonekana Yanga baada ya mchezo huyo kwenda kuichezea timu ya Freestate Stars inayoshiriki ligi…
Msanii H baba kuichezea Toto African?, maneno yake nimekuwekea hapa
Good news ninayotaka kukusogezea ni hii kutoka kwa msanii wa Bongo Fleva, H Baba ambaye ametangaza rasmi sasa hivi kurudi kwenye soka na kujiunga na timu ya Toto African. 'Kupitia…
Mbunge wa CHADEMA kanusurika kwenye ajali ya hii Helicopter leo July 07 2015.
Taarifa ilianza kuenea jioni ya July 07 2015 kwenye kuhusu ajali ya Helicopter iliyokua imebeba Wanachadema mbalimbali akiwemo mbunge Arumeru Mashariki Joshua Nassari. Kwenye ukurasa wa Twitter wa CHADEMA zimewekwa…
Video ya chimbo jipya la chini ya ardhi Dar es salaam… nimepelekwa mpaka ndani
Wafanyabiashara ni wengi na kila mmoja anataka mambo yake yaende vizuri ndio maana kwa gharama zote anazozimudu anahakikisha amefanikisha kufikia lengo la kuteka wateja wengi. Baada ya mwezi mtukufu mpango…