Picha kutoka Mahakama ya Kisutu wakati inasomwa hukumu ya Mawaziri wa zamani, Daniel Yona na Basil Mramba
Kesi iliyokuwa inawakabili Basil Mramba, Daniel Yona na Agrey Mgonja kuhusu matumizi mabaya ya madaraka imetolewa hukumu leo katika Mahakama ya Kisutu, Dar es Salaam. Daniel Yona na Basil Mramba wamehukumiwa kifungo…
Majibu ya Diamond Platnumz kuhusu beef, uchawi, kulipia collabo, Team za mitandaoni.. (Audio)
Diamond Platnumz alikuwa live kwenye XXL @CloudsFM, kuna vingi kaviongea Exclusive, nilipata nafasi kumsikiliza na hivi ni baadhi ya vitu alivyoviongelea leo June 6 2015. Unadhani Diamond anaamini uchawi >>>…
Baada ya Mapenzi au Pesa, Nay wa Mitego kaachia hii nyingine ‘Sina Muda’…(Audio)
Baada ya Nay wa Mitego kutoa ngoma yake ya 'Mapenzi au Pesa' akimshirikisha Diamond, sasa amerudi tena na single nyingine inayojulikana kwa jina la 'Sina Muda'. Isikilize hapa mtu wangu...…
Drogba kawataja hawa mabeki kwamba ndio waliomsumbua zaidi Uwanjani..
Gwiji wa zamani wa soka la kimataifa wa Ivory Coast na klabu ya Chelsea, Didier Drogba, ni mmoja wa washambuliaji bora zaidi waliowahi kutamba katika barani Afrika, Asia na Ulaya.…
Ally Nipishe kaipokea zawadi ya gari? maneno yake ni haya kwa Soudy Brown.. #UHeard
Staa wa Bongo Fleva Ally Nipishe alisimulia wiki iliyopita kuhusu kisa cha kukamatwa kwake na kuwekwa ndani kwa miezi mitatu baada ya kununua gari ambayo ilikuwa ya wizi. Soudy…
Breaking NEWS toka Mahakama ya Kisutu Dar, Hukumu ya Mawaziri wa zamani, Basil Mramba na Daniel Yona..
Stori kutoka Mahakama ya KISUTU Dar es Salaam ziliingia kwenye Headlines za vyombo vya Habari mfululizo baada ya Mahakama hiyo kuahirisha kusoma hukumu ya Mawaziri wawili wa zamani, Basil Pesambili…
Ciara amekosa Housegirl? Haya ndio maisha yake na mtoto wake.. (Pichaz)
Msanii maarufu wa R&B Ciara hivi karibuni alifanya interview kuzungumzia maisha yake ya kuwa mama yakoje na anawezaje kuwa mama na mwanamuziki kwa wakati mmoja... Ciara alikuwa na mengi ya kuongea…
Afande Sele kaja na tuzo za Milima ya Uluguru, Kundi la Weusi na suluhisho la wezi wa kazi zao…255 (Audio)
Afande sele ameakua kuja na tuzo za Milima ya Uluguru,, ameona kuna wasanii hawatendewi haki katika utoaji tuzo..inawezekana kutokana na sehemu wanazotoka..ameamua kuja na tuzo zake kwa sababu haziangalii Utaifa…
Kwenye hii gari hata mtoto mchanga ana siti yake ya kukaa poa kabisa.. (Pichaz & Video)
Tumezoea kuona gari ikiwa na siti za kawaida tu za kukaa watu wazima.. Wapo walioamua kuwajali watoto wadogo, kama unasafiri na mtoto wako basi nae atakuwa na siti yake ya…
#Hekaheka…Kijana humuadhibu baba mkwe wake kila akigombana na binti yake (Audio)
Leo Hekaheka inatokea maeneo ya Mbagala kuu, Dar es salaam ambapo kuna kijana mtaani amekuwa akiwakera wananchi wa eneo hilo kwa tabia zake za kumpiga baba wa bibti aliyekuwa akiishi…