Joh Makini kathibitisha kufanyika kwa video 3 ikiwemo ya Rapper AKA wa South Africa
Good news ninayotaka kukusogezea ni hii kutoka kwa Joh Makini na G Nako ambao wapo Afrika Kusini Johannesburg kwenye maandalizi ya video zao. Joh Makini akiamplify kwenye AMPLIFAYA ya Clouds…
Magazeti 15 ya Tanzania August 26 2015, habari kubwa za udaku, michezo na hardnews
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumatano Agosti 26,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews, zote ziko…
Maneno ya Waziri wa Fedha kuhusu fedha zilizotumika kuboresha Miundombinu
Agosti 25 ni siku ambayo Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum alizindua bodi ya PPF na mafao mapya ya mfuko huo.Katika mazungumzo ya Waziri huyo pia alitoa ufanunuzi kuhusiana na fedha…
Wizara ya Afya imetoa Idadi kamili na maeneo wanayotoka waathirika wa ugonjwa wa kipindupindu
NI Ugonjwa ambayo umechukua headline sana kwa mwaka huu, sasa leo Mh. Dr.Seif Selemani Rashid kutoka wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii aliitisha mkutano wa waandishi wa habari kuzungumzia idadi…
Polisi wazuia ziara za Lowassa zisizo rasmi Dar es Salaam….
Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es salaam limepiga marufuku wagombea wa vyama vya siasa kufanya vitendo vinavyo hatarisha usalama wa raia na mali zao kwa kufanya mikusanyiko isiyo…
Habari kumi kubwa za kwenye Top 10 ya AMPLIFAYA CloudsFM Agosti 25 2015
Kutana na #AMPLIFAYA ya CloudsFM Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia saa moja usiku uwe unapewa habari zote kumi kubwa za siku kuanzia kwenye siasa, michezo, burudani, muziki, filamu na mengine ya…
Hizi ni picha za Mesut Ozil na Miss Uturuki zinazozua hofu kuhusu ukaribu wao
Picha ambazo zimekuwa zikizunguuka katika vyombo vya habari mbalimbali Uturuki zikimuonesha kiungo wa kimataifa wa Ujerumani anayeichezea klabu ya Arsenal ya Uingereza Mesut Ozil ameonekana akiwa na miss Uturuki kitu ambacho…
Behind the scenes ya video mpya ya Future ‘Where Ya At’ feat Drake isikupite mtu wangu. (Video).
Siku chache zilizopita niliisogeza kwako video mpya ya Future 'Where Ya At' aliomshirikisha rapper ,mwengine maarufu Drake. Lakini baada ya video hiyo kutoka na kupokelewa vizuri na mashabiki, Future kanona bora…
Mdundo mpya wa French Montana umekupita? ‘To Each His Own’ imenifikia karibu uitazame hapa. (Video)
Imepita muda kidogo toka French Montana adondonshe mixtape yake 'Casino Life 2: Brown Bag Legend ' lakini good news ni kwamba msanii huyu wa Hip Hop bado ana vitu vizuri kwa…
The Weekend anaileta kwako video ya ngoma yake mpya; ‘Tell Your Friends’ (Video).
Baada ya kuachia 'Cant feel my Face' msanii wa Muziki wa R&B Marekani The Weekend amerudi kuziweka healines kwenye kurasa za burudani. Time hii amekuja na video ya wimbo wake mpya…