Baada ya ‘nje ya box’ hii ndio video mpya kutoka kwa Nisher.
Hii ni video mpya ya msanii mpya wa Tetemesha Entertainment aitwaye Barakah da Prince, video ilifanyika Dar na kuongozwa na director kutoka Arusha Nisher. Hii ni video mpya kutoka kwa…
Sikiliza Magazeti yakisomwa Redioni leo March 10
Kwa kutumia teknolojia ya kisasa nimekurekodia magazeti haya yakisomwa na kuchambuliwa Redioni kwako mtu wangu wa nguvu,hivyo kama ulimis kwa bahati mbaya waweza kuyasikiliza hapa,Sikiliza kupitia 104.4 Clouds Fm Dodoma.…
Magazeti ya leo March 10 2014 Udaku, Michezo na Hardnews
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
Matokeo ya Simba vs Prisons – JKT vs Mtibwa Sugar haya hapa
Simba ya Dar es Salaam leo imeendelea kuwa na matokeo mabaya kwenye ligi baada ya kushinda kufungana na Prisons ya Mbeya katika mchezo uliopigwa uwanja wa Sokoine, Mbeya. Matokeo hayo…
Matokeo ya Al Ahly vs Yanga Misri yako hapa.
Klabu ya Yanga ya Dar es Salaam imeondolewa kwenye michuano ya kombe la mabingwa wa Afrika baada ya kufungwa katika mchezo wa raundi ya pili na mabingwa watetezi wa kombe…
Full Time ya Man City vs Wigan March 9 2014
Ni mechi nyingine ambayo wengine wameifurahia na wengine wamehuzunika kutokana na haya matokeo.
Taarifa Kuhusu Ndege inayosemekana kuzama baharini.
Taarifa zinazoihusu Ndege ya shirika la Ndege la Malaysia aina ya Boeing 777 iliyotoweka jana asubuhi bado haijapatikana mpaka sasa ingawa vikosi mbalimbali vya uokoaji kutoka China vimeelekea huko. Ndege…
Hiki ndio kikosi cha Yanga vs Al Ahly – fahamu nani kachukua nafasi ya Niyonzima
Hiki ndio kikosi cha Yanga kinachoanza leo dhidi ya Al Ahly - mechi itaanza muda wa 2:00 kamili usiku kwa muda wa Afrika Mashariki. 1: Deogratius Munish 'Dida' 2: Mbuyu…
Taarifa kuhusu kuugua kwa Haruna Niyonzima akiwa Misri
Mchezaji tegemezi wa klabu ya Yanga Haruna Niyonzima ameugua ghafla akiwa huko jijini Alexandria Misri wakati timu yake ikijiandaa na mchezo wa marudiano dhidi ya Al Ahly utakaopigwa muda mchache…
Hii ndiyo kampuni inayowavalisha Taifa Stars kwa sasa.
Kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) ambapo taarifa ikufikie kuwa wamefikia makubaliano na kampuni ya Adidas kupitia msaada wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) kupatiwa vifaa…