Hawa ndio washiriki wengine waliotoka Big Brother….
Matumaini ambayo wengi wetu tulikuwa nayo kumuona mshiriki wa kutoka Afrika Mashariki ndani ya jumba la Big Brother Africa kuibuka na ushindi, yameshuka kwa kiasi kikubwa baada ya washiriki kutoka…
Huyu ndiye Rais mwanamke aliyeshinda kiti cha Urais kwa mara ya pili.
Mwanamke wa kwanza kushika wadhifa wa urais nchini Brazil 2011, Diana Rousseff amechaguliwa tena kushika wadhifa huo katika uchaguzi mkuu uliofanyika siku ya Jumapili Oktoba 25 nchini humo. Baada ya…
Hivi ndivyo Sokwe huyu mwenye miaka 40 amesherehekea siku ya kuzaliwa.
Stori kutoka Uingereza nimekutana nayo mtandaoni mtu wangu wa nguvu, na kama ilivyo kawaida yangu, nafanya kushare na wewe kama hivi. Na stori hii inamhusu sokwe mmoja ambaye amepewa jina…
Hii ni taarifa kuhusiana na Ebola kupiga hodi nchi nyingine nje ya Afrika.
Taarifa kutoka Australia zinasema mtu mmoja amewekwa katika uangalizi maalumu akifanyiwa vipimo ambapo taarifa za awali zimesema kuwa mgonjwa huyo ana homa na dalili za maambukizi ya Ebola. Mtu huyo…
Umesikia kuhusu ‘Karantini’ ya Marekani kulinganishwa na jela? Stori iko hapa
Saa chache baada ya New York na New Jersey kutangaza utaratibu mpya wa kuwaweka karantini wauguzi waliotoka nchi za ukanda wa Afrika Magharibi, muuguzi mmoja ambaye amewekwa karantini New Jersey…
Story 6 Hot kutoka kwenye Magazeti ya leo October26
MWANANCHI Waziri wa zamani wa Nishati na Madini Willium Ngeleja amesema mgawo wa umeme ulioikumba nchi wakati wa uongozi wake ulimpa wakati mgumu na kufanya akose usingizi. Alisema kukosa usingizi…
Pichaz 45 kutoka kwenye Tamasha la ‘siku ya Msanii’ ziko hapa tayari……..
Usiku wa Oct 25 kumefanyika tamasha kubwa la wasanii liitwalo SIKU YA MSANII,kwenye ukumbi wa Mlimani City Dar es Salaam.Katika tamasha hilo lilipata mgeni rasmi ambaye alikuwa ni makamu wa…
Umesikia story ya uwanja wa ndege kupata tatizo la IT? Isome hapa.
Imetokea mara nyingi kusikia Watanzania wakilalamika masuala mbali mbali, mfano ni huu. Unakumbuka ni mara ngapi unahitaji kutoa pesa ATM na ukakuta haiifanyi kazi kutokana na tatizo la Network? Au…
Magazeti ya leo October 26 2014, Michezo na Hardnews
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Marekani yawawekea ngumu madaktari wanaotoka Afrika Magharibi.
Baada ya kugundulika Dk. Craig Spencer (33) daktari aliyekuwa akihudumia wagonjwa wa Ebola Guinea ana maambukizi ya ugonjwa huo baada ya kurejea Marekani, nchi hiyo imeweka utaratibu maalum kwa madaktari…