Hawa ndio wanafunzi wanaofanya mitihani ya Sekondari wakiwa na mimba.
Afisa elimu katika kaunti ya Bungoma Kenya, ametoa taarifa kuhusiana na wanafunzi 53 wanaofanya mitihani wa kumaliza elimu ya sekondari iliyoanza siku ya Jumanne wiki hii, ni wajawazito. taarifa iliyochapishwa…
Kwa hiyo Ray J katoa ushauri kwa Tyga baada ya kusemekana kutoka na Kylie wa Kardashian?
Ni kwenye zile stori za mastaa mbazo huwa haziishi yani ambapo kwenye hii post amekabidhiwa mwimbaji Ray J baada ya kuzungumza na kusema kwa mtazamo wake yeye ni vyema rapper…
T.I amehojiwa tena Marekani na kuzungumzia mengine mapya kuhusu Tanzania
Clifford Joseph Harris, Jr. a.k.a T.I mkali kutoka Marekani aliyeangusha show ya nguvu katika jukwaa la Fiesta 2014 siku ya Jumamosi Oktoba 18 2014 katika viwanja vya Leaders Club Dar…
Hukumu ya kifo yatangazwa kwa wanawake wanaojiuza pamoja na wateja wao
Katibu wa maendeleo ya jamii katika jiji la Abuja Nigeria, ametangaza ‘kiama’ kwa wanawake wanaofanya ‘biashara ya kujiuza’ pamoja na wateja wao. Taarifa iliyochapishwa na Today Internet Newspaper imesema, katibu…
Story 9 Hot Magazeti ya leo October23
MWANANCHI Siyo tetesi tena,sasa ni rasmi kwamba Waziri mkuu Mizengo Pinda ambaye amekua akitajwa kuwania urais amethibitisha wazi kuwa atagombea urais katika uchaguzi mkuu mwakani. Alitoa uamuzi huo juzi jijini…
Wanafunzi chuo kikuu wapinga sheria inayozuia ‘kupigana mabusu’
Muungano wa wanafunzi umelaani sheria mpya iliyopitishwa na uongozi wa chuo kikuu cha Zimbabwe ambayo inapiga marufuku wanafunzi hao ‘kupigana mabusu’. Taarifa iliyoandikwa na shirika la utangazaji Uingereza BBC, imesema…
Canada yatoa tamko kuhusiana na shambulio la Bungeni.
Masaa machache baada ya kutokea tukio la shambulizi la risasi katika bunge la Canada lililopelekea mwanajeshi mmoja na askari wa bunge, kuuawa serikali ya Canada imetoa tamko rasmi kuhusiana na…
Ronaldo kipenzi cha mademu – angalia walivyomlilia baada ya kumuona
Real Madrid superstar Cristiano Ronaldo ameiweka dunia ya soka kwenye nyayo zake. Akiwa na marafiki zaidi ya 135 katika mitandao ya kijamii ya Twitter, Facebook na Instagram, mchezaji huyo wa…
Video: Angalia magoli ya Arsenal vs Anderlecht
Baada ya kutoka sare na Hull City jumamosi iliyopita kwenye ligi kuu ya England - Arsene Wenger jana alisafiri na vijana wake mpaka Belgium kwenda kupambana na Anderlecht. Matokeo…
Video: Angalia namna Ronaldo na Benzema walivyoiua Liverpool
Ligi ya mabingwa wa ulaya iliendelea tena jana usiku kwa michezo kadhaa kupigwa - Real Madrid walisafiri mpaka Anfield kwenda kuumana na Liverpool. Matokeo ya mchezo huo ni ushindi wa…