Hizi ndio picha 11 kutoka Keko, nyumbani kwenye msiba wa msanii YP.
Aliyekuwa msanii wa muziki wa Bongo Fleva, YP ambaye amefariki usiku wa jana katika hospitali ya Temeke wakati alipokuwa akitibiwa maradhi ya kifua kikuu (TB) anatarajiwa kuzikwa siku ya kesho…
Picha 12 kutoka nyumbani kwa kaka yake YP sehemu ulipo msiba.
Asubuhi ya October 21 Tanzania zilianza kusambaa taarifa za msiba wa aliyekuwa member wa kundi la Tmk Wanaume Family Yp ambaye baadae Meneja wa kundi hilo Said Fella alizithibitisha kwa…
Unamfahamu mmiliki wa kituo cha redio aliyefungwa? Picha na habari viko hapa.
Mahakama ya Somalia imetoa amri ya kuzuiwa kwa pasipoti ya mmiliki wa kituo maarufu cha redio nchini humo, ambaye anakabiliwa na shtaka la kuhatarisha usalama wa nchi hiyo. BBC inaripoti…
Msiba mwingine tena leo baada ya YP tumeondokewa na mwigizaji.
Ni masaa machache tu yamepita tangu muziki wa kizazi kipya Tanzania, Bongo Fleva kumpoteza aliyekuwa staa wa muziki huo kutoka kundi la TMK Wanaume Family, aliyekuwa akifahamika kwa jina la…
Baada ya Basi Nenda Mo Music katuletea hii single mpya.
Hit maker wa single ya Basi Nenda kutoka 88.1 Mwanza Mo Music leo ameachia single yake mpya baada ya Basi Nenda kufanya vizuri,hii kaifanya Mazuu Records chini ya Producer Mazuu.…
Miss Tanzania 2014 mbele ya Waandishi, haya ni 11 waliyoyasema kuhusu umri, elimu na mengine
Mwaka 2005 kulikua na ushindani kidogo, mwaka 2006 kulikua na ushindani wa Wema na Jokate na upinzani huu umeendelea kuwepo kwenye mashindano yetu lakini ya mwaka huu imezidi mno, kumekua…
Story 7 hot Magazeti ya leo October21
MTANZANIA Mwalimu wa Shule ya Ufundi ya Santa Cacilia ya Mkoani Kilimanjaro Eliuteria Kiwia ameuawa na watu wasiojulikana kisha kumnyofoa macho yake. Inadaiwa mwalimu huyo alipigwa na kitu kizito kichwani…
Umeipata Breaking News kuhusiana na hukumu ya Pistorius? Isome hapa
Kesi iliyokuwa ikimkabili mwanariadha wa nchini Afrika Kusini, Oscar Pistorius hatimaye imefikia ukingoni ambapo Mahakama ya jijini Pretoria imemkuta na hatia ya mauaji ya bila kukusudia. Kutokana na kukutwa na…
Umesikia kuhusu taarifa inayomhusu msanii YP? Isome hapa
Taarifa niliyoipata hivi punde inahusiana na msiba wa aliyekuwa mkali wa Bongo Fleva, YP kutoka kundi la wanaume Family. Kupitia Tweet ya Anna Peter aliyoiweka dakika chache zilizopita, amesema amezungumza…
Tutarajie video mpya ya @VanessaMdee kutoka nje ya Tanzania?
Maoni ya Wasanii wengi wakubwa wa Tanzania niliozungumza nao kwa asilimia kubwa hayapingani na maamuzi ya mastaa wengi wa bongo kwenda kufanya video za muziki wao nje ya Tanzania na…