Uliiona hii ya Vanessa Mdee na Jux weekend iliyopita?
Waimbaji Jux na Vanessa Mdee tayari mpaka sasa wameshachukua nafasi kwa kiasi chake kwenye headlines za stori za mastaa wa bongo mwaka huu na hii ni kutokana na wawili hawa…
Maisha yataendelea kuwa rahisi ukiwa na Vodacom!
Ni mtandao wenye rekodi ya kufanya vizuri toka umeanzishwa hapa Tanzania ambapo umekua ukizidisha ubunifu kila siku na kubadilika kutokana na ulimwengu pia mahitaji ya watu.
Suge Knight hataki tena kusikia kuhusu ishu ya kupigwa risasi?
Askari wanaohusika na kesi ya Suge Knight kupigwa risasi August mwaka huu wanasema wamemfahamu mtu aliyefanya kitendo hicho lakini hawana ushahidi wa kutosha ili kuweza kumkamata. Mtandao wa TMZ wa Marekani…
Good news!! @Aytanzania aanza kushoot video mbili huko Marekani
Ambwene Yesaya aka AY ambaye ni mmoja kati ya wasanii wachache wa Tanzania ambao ujio wao huwa hautabiriki kutokana na uwezo wake mkubwa wa kufanya mitindo mingi ya muziki. Good…
Unaweza kulala na simba kitanda kimoja? Hawa waliweza..
Kwenye nyumba tunazoishi mara nyingi tumekua tukifuga na kuishi na Paka au Mbwa kitu ambacho ni kawaida na ni nadra sana kukutana na mtu anaeishi na au kufuga viumbe ambavyo…
Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo October 14 2014
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Stori 10 hot za leo October13
UHURU Hali ya uchafu nje ya machinjio ya vingunguti Dar es salaam imezidi kuwa mbaya na kuhatarisha afya za walaji hususan wateja wanaonunua nyama nje ya machanjio hiyo. Kwa…
Uliwahi kuipata hii kuhusu kufungwa kwa magereza nchini Nertherlands?
Unaambiwa mwaka 2009 nchi ya Netherlands iliamua kufunga magereza yake tisa kutokana na upungufu wa uhalifu nchini humo ambapo mpaka mwaka 2013 jumla ya magereza 19 yalifungwa kutokana na kuzidi…
Unamkubali mchekeshaji Kansiime? kaonyesha picha za mpenzi wake na kuandika haya….
Ni mchekeshaji wa Uganda ambae tumekutana na video zake fupifupi nyingi sana kupitia mitandao ya kijamii kama Instagram, facebook na hata tumekua tukirushiana Whatsapp. Kwenye upande wake wa pili kama…
Uliipata hii ya Rose Muhando? inaitwa jiwe….
Ni mamilioni ya Watanzania wanaguswa na kipaji cha mwimbaji Rose Muhando na ndio maana wamemfanya kuvunja rekodi za mara kwa mara kwenye mauzo ya nyimbo zake dukani na hata kwenye…