Mchongo mpya alioupata Diamond Platnumz,huu unahusu application ya simu.
Ingawa hajaweka wazi namna dili hii itakavyokuwa lakini kupitia ukurasa wake wa Instagram,Diamond Platnumz amepost picha ambayo imebeba maandishi yasemayo 'Ningependa kukutaarifu shabiki wangu pendwa kuwa kijana wako sasa ni…
Pichaz za msaada walioutoa Yamoto Band na Tmk Wanaume Family.
Yamoto Band chini ya Mkubwa na wanawe Youth Centre Jumapili ya Sept 21 walijitambulisha rasmi kwa mashabiki wao,utambulisho ambao waliufanya kwenye ukumbi wa Darlive uliopo Mbagala. Miongoni mwa Show ambazo…
Kutana na hii ya mtoto wa miaka 13 aliyetolewa akicheza na kuozeshwa.
Unaweza kudhani ni stori za kutengenezwa lakini hii imetokea 88.4 Mtwara ambapo unaambiwa mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 13 aliyeolewa na mwanaume mwenye mke na watoto 3. Kinachoshtua…
La Liga: Madrid yaichinja Elche – na Cristiano Ronaldo aweka rekodi hii
Baada ya kuitandika Basle 5-0 katika Champions League, kisha wakaja kuifumua Deportivo La Coruna 8 kwenye La Liga wikiendi iliyopita, jana kipigo cha Madrid kilihamia kwa timu ya Elche katika…
Capital One: Hiki ndicho Southampton walichoifanya Arsenal nyumbani kwao jana!
Arsenal walivubja rekodi ya miaka miwili kwenye Barclays Premier League jumamosi iliyopita kwa kukamilisha jumla ya pasi 741 katika ushindi wao wa magoli 3-0 dhidi Aston Villa. Usiku wa jana…
Pichaz za magari mapya ya Polisi mtaani Dar es salaam.
Kama uko town Dar es salaam unaweza ukawa umeshakutana na hizi gari mpya za Polisi kwenye maeneo mbalimbali ambapo hata usiku zimeonekana katika baadhi ya maeneo ya mji zikifanya doria.…
Dakika 7 za kilichosemwa CHADEMA mbele ya Waandishi wa habari.
Chama cha demokrasia na maendeleo {CHADEMA} kimesema Bunge maalumu la katiba na vikao vyake vinavyoendelea hivi sasa havina uhalali wa kukubalika kwa sababu hakuna maridhiano wala muafaka wa kitaifa hivyo…
Ni time ya kusikiliza Magazeti yakisomwa na kuchambuliwa Redioni leo Sept 24.
Kuperuzi na kudadisi ni sehemu inayokupa nafasi ya kusikiliza uchambuzi wa Magazeti ambao hufanywa na kipindi cha Power Breakfast kuanzia Jumatatu hadi Ijumaa hapa yanasomwa na PJ. 104.4 Clouds Fm…
Sauti ya T.I akiiongelea Oct 18 Tanzania na kiswahili kidogo alichokiongea!
Kupitia XXL ya CloudsFM September 23 2014 ndio T.I ametangazwa kuwa staa wa muziki wa kimataifa ambae atakua mgeni kwenye stage ya Fiesta 2014 Leaders Club Kinondoni October 18. T.I…
Magazeti ya leo Jumatano September 24 2014
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…