Dakika 19 za kusikiliza Magazeti yakisomwa Redioni leo Mei 09.
Teknolojia inaniruhusu kukuwekea hii kitu,Naomba uzitumie dakika hizi 19 kwa ajili ya kusikiliza magazeti ya leo Mei 09 yakisomwa na kuchambuliwa redioni kupitia kipindi cha Power Breakfast kwenye kisehemu cha…
Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo Mei 09 2014
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
Jaqueline Wolper kwa mara ya kwanza, ameongea kuhusu kubadili dini, kuachana, usagaji
Ni longtime mwigizaji Mtanzania Jaqueline Wolper amekua kimya na hajasikika akiyatoa ya moyoni kuhusu yote yaliyompata kwenye miezi iliyopita na kumfanya amiliki sana headlines za magazeti, blogs, website pia facebook…
Video nyingine ya Nigeria inayovipa tabu vituo vya TV kuicheza. ( 18+ )
Labda ingekua ya msanii wa Tanzania, Kenya, Uganda au Rwanda hii video ingekua imeshafungiwa kwenye nchi anayotoka kama ambavyo tumeshuhudia kufungiwa kwa video zisizopungua kumi kutokana na kudaiwa kuvunja maadili.…
Good news: Wimbo wa Diamond & Davido ‘number 1 rmx’ umefika mpaka hapa Brazil
Zilipita headlines nyingi za Diamond kufanya kolabo na mastaa wakubwa wa muziki Afrika akiwemo Davido na Iyanya, video zake kuchezwa kwenye tv za kimataifa na zinazoonekana sehemu kubwa ya Afrika…
Unapenda ujenzi wa nyumba za kisasa? tazama hizi mbili labda utapata chochote
Sio kila anaetazama hii post anao uwezo wa kujenga nyumba za namna hii ila kua uwezekano na nyumba ndogo ya saizi yako ukaweza kuibadilisha kwenye sehemu flani baada ya kutazama…
Nyingine kubwa ya leo Dar es salaam ni hii!
Huwa inatokea tena mara ya moja tu kwa mwaka kwa tukio hili la Miss IFM ambapo mwaka huu pamoja na mengine zaidi yaliyoandaliwa CMB Prezzo kutoka Kenya ndio msanii atakaechukua…
Jose Chameleone anakualika utumie dakika 3 tu kutazama hii video yake mpya. @JChameleone
Wanasema ni Jose Chameleone ni miongoni mwa mastaa wachache kwenye muziki wa Afrika Mashariki walioweza kudumu bila kuwa kimya kwenye muziki tofauti na wengine ambao ukimya wao umezidi hata miaka…
Sentensi 6 za Askofu wa kanisa lililolipuliwa bomu Mwanza
Miongoni mwa stori kubwa za AMPLIFAYA ya CloudsFM wiki hii ni hii ya bomu kulipuliwa kwenye kanisa la kiinjili la kilutheri Tanzania (KKKT) Mwanza ambapo lilijeruhi mtu mmoja alielazwa hospitali…
Msikilize Mbwiga wa Mei 08.
Hiki ni kitu kingine ambacho kinakamilisha Sports Extra ya Clouds Fm ambacho kinahusu simulizi za michezo hasa upande wa mpira wa miguu,huu ni mtekenyo wa Mbwiga wa Mbwiguke wa leo…