Happy ya Pharrell imeingia mpaka shuleni, tumia dakika 1 na sekunde 58 hapa.
Imekua hit single ambayo imemiliki hata chati za muziki kwenye redio za Tanzania ikiwemo Clouds FM Top 20 ambapo ilikaa kwenye namba 1 kwa zaidi ya wiki nne mfululizo ikiwa…
Sentensi 8 kuhusu sheria mpya ya ndoa nchini Kenya… Wake wengi na kama ukivunja sheria.
1. Kuanzia April 29 2014 Mwanaume na Mwanamke ambao wapo kwenye ndoa wana haki na majukumu sawa kwenye ndoa yao huko Kenya hii ikiwa ni baada ya Rais Uhuru Kenyatta…
Picha mbili za maamuzi ya Samuel Eto’o kuhusu ile ishu ya Dani Alves
Unaambiwa club ya Villareal imemfungia maisha yule shabiki ambae alionyesha kitendo cha kibaguzi kwa kumrushia ndizi Dani Alves, kitendo ambacho kilitafsiriwa kwa Alves kufananishwa na nyani. Wachezaji kadhaa wamemsupport kwa…
Kuwa wa kwanza kuusikiliza wimbo mpya wa Steve Rnb She Dance.
Mkali toka Tanzania ambaye yupo kwenye list ya Wanamuziki wanaofanya vizuri kwenye muziki wa Rnb,Watanzania wengi tulimtambua Steve Rnb baada ya kushirikishwa na Mr. Blue kwenye wimbo wa Tabasamu,huu ni…
Sikiliza Magazeti yakisomwa Redioni leo April 30.
Kama kawaida ya millardayo.com kila unaposoma vichwa vya habari vya Magazeti tunakupa nafasi ya kusikiliza hayo hayo Magazeti ya siku husika yakisomwa na kuchambuliwa na PJ kupitia Power Breakfast. 96.5…
Kurasa za mwanzo na mwisho Magazetini leo April 30 2014
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
Unaweza kuangalia mabao yote ya mchezo wa Real Madrid vs Bayern hapa
Cristiano Ronaldo na Sergio Ramos jana usiku wameiwezesha klabu ya Real Madrid kutinga kwenye fainali ya UEFA Champions League baada ya kipindi cha miaka 12 - baada ya Real Madrid…
Mchekeshaji wa Nigeria akizungumzia jinsi Warembo wa nchi hiyo wanavyosali.
Wachekeshaji wa Nigeria ni miongoni mwa mastaa matajiri nchini humo ambao hula mashavu ya Ubalozi kwenye makampuni mbalimbali makubwa yakiwemo ya simu na hii ni kutokana na ukubwa wa kazi…
Baada ya adhabu ya boss mbaguzi, Diddy atainunua L.A Clippers?
Baada ya kuonekana uwezekano wa timu ya L.A Clippers kuuzwa ili mmiliki wa sasa asijihusishe nayo tena baada ya kupewa adhabu ya kutoisogelea maishani, P.Diddy ameandika tweet ambayo kila mmoja…
Yule tajiri Mmarekani aliesema hataki watu Weusi kapewa hii adhabu
NBA imesema kutokana na uchunguzi kukamilika kuhusu mmiliki wa timu ya Los Angeles Clippers Donald Sterling dhidi ya maneno ya kibaguzi kwa watu weusi, imempa kifungo cha maisha mmiliki huyo…