Full Time ya Arsenal vs West Ham April 15 2014
Mpaka game inaisha Arsenal walikua wana ushindi wa goli 3 huku mbili zikifungwa na Podolski kwenye dakika ya 44 na 78 alafu moja la Giroud dakika ya 55 ambapo goli…
Unaweza kutumia dakika 4 kuangalia video mpya kutoka kwa TID ft Pro Jay
Ni wakati mwingine TID ametoa new video ya wimbo ambao aliwahi ku-tease kwenye video yake iliyopita. Hii video ina dakika 4 na sekunde 26 unaweza kuzitumia kuangalia kitu kipya kutoka…
Picha 25 za nyumbani kwa Marehemu Mzee Gurumo zikimuonyesha pia Makamo wa Rais Dr.Gharib Bilal.
Asubuhi ya April 15 kabla ya mwili wa marehemu Muhidin Gurumo kusafirishwa kuelekea kijijini kwao Masaki Wilayani Kisarawe Makamo wa Rais Dkt Mohammed Gharib Bilal alihudhuria nyumbani kwa marehemu eneo…
Picha 19 za alivyozikwa Mzee Gurumo leo kijijini Kisarawe.
Mazishi ya Mzee Gurumo yamefanyika leo katika kijiji cha Masaki kilichopo wilaya ya Kisarawe Mkoa wa Pwani ambako mamia ya watu yalikusanyika kumsindikiza kwenye safari yake ya mwisho. Miongoni mwa…
Seif Shariff Hamad kazungumza leo, kauli zake 7 kuhusu Muungano ziko hapa
Amekua mmiliki wa vichwa vya habari kutokana na ripoti mbalimbali ambazo zimekua zikimnukuu kwa kudai kutozitaka serikali mbili lakini leo April 15 2014 amezungumza kwenye maonyesho ya miaka 50 ya…
Je wajua ushindi wa 3-0 wa Dortmund umetengeneza rekodi ipi kwa Pep Guardiola
Wikiendi iliyopita klabu ya Bayern Munich ilipokea kipigo cha 3-0 kutoka kwa mahasimu wao Borrusia Dortmund katika mchezo wa ligi kuu ya Bundesliga. Kipigo hicho kimekuwa cha pili kwa Bayern…
Sentensi 12 alizozitoa ktk bunge la katiba Mh. Joseph Mbilinyi (Sugu) leo na sauti yake.
Wajumbe mbalimbali kwenye bunge la katiba wameendelea kuwasha vipaza sauti vyao kuchangia, kutoa ya moyoni kwa kujadili sura ya kwanza na ya sita huku ishu ya serikali mbili au tatu…
Video ya kwanza niliyoitazama leo asubuhi. @baloziz
Ni siku kadhaa toka ulipotoka mchongo wa dili la Mtanzania mwenye vigezo kupata ubalozi wa kinywaji kipya town ambapo watu mbalimbali wenye vigezo wametakiwa kurekodi video ya sekunde 30 kuelezea…
Hii ndio listi ya vilabu tajiri duniani – Real, Barca, Man U nani katisha????
Real Madrid imeendelea kuwa klabu tajiri duniani. Jarida la Forbes la marekani limeitaja klabu ya Real Madrid kuwa na thamani ya €3.3 billion, huku klabu ya Manchester United ikishika nafasi ya…
Jamal Malinzi agoma kujiuzulu uenyekiti wake….
RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amesema hatajiuzulu nafasi ya Mwenyekiti wa Chama cha Soka Mkoa wa Kagera (KRFA) pamoja na kuwa na majukumu ya kitaifa. Katika…