Hiki ndio kikosi cha Yanga kinachoanza leo dhidi ya Al Ahly
Mshambuliaji wa kimataifa wa Uganda anayekipiga Yanga leo ataanza katika kikosi cha kwanza cha Yanga kinachojiandaa kukipiga na Nacional Al Alhly muda mfupi ujao katika dimba la uwanja wa taifa.…
Mchezaji mkongwe wa Mtibwa anusurika kukatwa mapanga na mashabiki
KIUNGO mshambuliaji wa Mtibwa Sugar, Shaaban Kisiga ‘Marlone’, amenusurika kukatwa mapanga na mashabiki wa timu ya Faru Jeuri wakati akiichezea Daladala FC katika mechi ya Kombe la Ng’ombe kwenye Uwanja…
Kuhusu Simba kufanya vibaya – soma alichosema Felix Sunzu
STRAIKA Mzambia, Felix Sunzu ameisikitikia klabu yake ya zamani ya Simba kwa matokeo mabaya inayopata na kusema inaponzwa na tabia ya kubadili timu kila wakati. Sunzu ambaye kwa sasa anaichezea…
Mahakama yamrudisha tena Chris Brown rehab.
Baada ya kukaa rehab kwa ajili ya anger management na msimamizi wa rehab hiyo kusema kwamba Chris Brown ameonyesha improvement, bado jaji wa kesi hiyo hakuridhika na ripoti na kumrudisha…
Magazeti ya leo March 01 2014
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
Umekisia alichokifanya Matonya kwa hailah,kipo hapa.
Soud Brown ana-amplify taarifa zinazomhusu Matonya na hailah muimbaji kutoka Tht na hit maker wa wimbo wa Maumivu,ambayo chanzo cha habari hii kukutanishwa Matonya na hailah kumetokana na kazi mpya…
Msikilize Mbwiga leo February 28.
Mtekenyo wa Mbwiga wa Mbwiguke wa leo February 28 kazungumzia kuhusu mechi iliyowahi chezwa ikihusisha timu ya Yanga,sikiliza kupitia89.8 Clouds Fm Singida. Bonyeza play kusikiliza.
Clouds TV yapata kibali cha kurusha matangazo yake kitaifa.
Leo hii tarehe 28/2/2014 Clouds TV imepata kibali cha kurusha matangazo yake Tanzania nzima. Clouds TV imekabidhiwa kibali hicho na Tanzania communications regulatory authority (TCRA). General director wa TCRA Prof…
Hiki ndicho kilichozaliwa kwa Marlaw,baada ya ukimya wake.
Huu ni wimbo mpya wa Marlaw ambao rasmi kauachia leo maalum kwa mashabiki wake wanaofatilia muziki wake,marlaw kwa sasa ni baba wa mtoto mmoja wa kiume,mpaka sasa sababu kubwa ya…
Hii ni Taarifa ya Jeshi la Polisi kuhusu mauaji na kisa kikiwa ni mapenzi.
Taarifa kutoka Mtwara ambayo wana-amplify jeshi la polisi Mkoa wa mtwara ni kuhusu mauaji yaliyotokea huko Mtwara ambayo chanzo chake kimeelezwa ni wivu wa kimapenzi uliokuwepo kati ya wapenzi hao.…