Umeiona video mpya ya P UNIT waliyofanya South Africa? @PUNIT_KENYA
Hii video P Unit waliifanya November 2013 Capetown Afrika Kusini wakati walipohudhuria tuzo za Channel O ambako walitangazwa washindi wa tuzo mbili. P Unit ni kundi la Kenya ambalo limeweza…
Video nyingine ya Wyre @WyreDaLoveChild
Ni zaidi ya wiki mbili toka huu mzigo uingie kwenye himaya ya Youtube lakini bado imekua ni single inayozidi kukua kila siku, ukiitazama mara moja unatamani kuitazama tena, ni yuleyule…
Hivi ndivyo Instagram ilivyomponza Abdul Kiba.
Wengi huwa wanasema mitandao ya kijamii ukiitumia vibaya inaweza kukuletea madhara sana na kama utaitumia vizuri basi inaweza kukuletea mafanikio makubwa sana,leo kupitia You herad ya leo Soud Brown ana-amplify…
Umeiona video mpya ya AT?ipo hapa.
Wale wa miduara huu mzigo wenu kutoka AT ambaye aliwahi kuwa member wa kundi la Offside Trick lililokuwa na makazi yake Zanzibar,wiki chache zilizopita kuna taarifa zilitoka za kup0elekewa barua…
Exclusive:Sikiliza wimbo mpya wa Mb Dogg unaoitwa Umenuna
Unapolitaja jina la Mb Dogg au Dogg Man tayari unajua ni nani anayezungumziwa ambaye kwa kipindi cha nyuma hit kama Latifa,Mapenzi kitu gani,Inamaana na zingine nyingi zilimueka kwenye headline na…
Utata kuhusu kifo cha mwanafunzi huyu,sikiliza kupitia Hekaheka ya leo.
Maktaba ya story zinazotokea mitaani bado imejaa na kupitia Hekaheka ya leo kuna taarifa ya mtoto aliyefariki kifo cha utata,ambayo taarifa kamili inatolewa na Leo tena kupitia kisehemu cha Hekaheka.…
Angalia ujanja walioutumia majangili kusafirishia pembe za ndovu
Story hii ilitoka February 15 ambayo ilitolewa na Jeshi la Polisi Mtwara kuhusu kukamatwa kwa watu watatu ambao walikuwa wakisafirisha pembe za ndovu zenye thamani ya Milion 700,kutoka Mtwara kuja…
Maneno ya Zitto Kabwe kuhusu nyongeza ya posho za bunge la katiba. @ZittoKabwe
Ishu ya posho za bunge la katiba ndiyo inayoongelewa sana hivi sasa ambapo pamoja na headlines zote za Wabunge, haya ni mawazo ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe kuhusu…
Hiki kitendo cha Drake ndio kimeonekana kama dharau kwa Diddy
Drake na Diddy walikua kwenye stage ambapo Drake alikua anaperform 'worst behavior' kwenye night club ikiwa ni All-star weekend ambapo ghafla mic yake iliacha kufanya kazi wakati ya Diddy ilikua…