Yani toka jana kuna watu hawaiachi Arsenal, wamesambaza na hizi picha na kumjumuisha Moyes
Yani zile goli 5 walizofungwa Arsenal jana zimesababisha jina la timu hii litajwe na kuandikwa mara nyingi sana kwenye mitandao ya kijamii ikiwa ni pamoja na kuambatanishwa na pichaz zikiwemo…
Alipoulizwa Moyes kuhusu kumpa Rooney unahodha wa Man United
Baada ya nahodha wa sasa wa klabu ya Manchester United Nemanja Vidic kutangaza kwamba ataondoka katika klabu hiyo mwishoni mwa msimu huu, kumekuwepo na mjadala katika vyombo vya habari kuhusu…
Kauli ya Malinzi kuhusu rundo la madeni ya TFF waliyorithi kutoka kwa Tenga
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limesema changamoto kubwa linaloikabili sasa ni madeni ya mamilioni ya fedha waliyoyarithi kutoka uongozi uliopita wa Rais, Leodegar Tenga. Akizungumza na Mwanaspoti katika tathimini yake…
Umeona alichoandika kipa wa Arsenal baada ya kufungwa 5-1 na Liverpool jana?
Muda mfupi baada ya mchezo wa jana wa ligi kuu ya England kati ya Arsenal na Liverpool ambao uliisha kwa matokeo ya Liverpool kuichapa Arsenal 5-1, kipa wa klabu ya…
Magazeti ya leo Jumapili February 09 2014 Michezo na Hardnews
Kila siku hapa millardayo.com huwa naweka magazeti ya siku husika, kuanzia udaku michezo na hardnews nikiamini kwamba wakati mwingine unaweza kuwa mbali na yanakopatikana au yakawa yanachelewa kukufikia asubuhi. Lengo…
Kama mechi ilikupita, nimekuekea video ya magoli yote ya Liverpool vs Arsenal Feb 8
Najua kuna uwezekano ulikua mbali wakati mechi hii ikionyeshwa live mtu wangu ndio maana nimekuletea hii video inayoonyesha magoli yote matano dhidi ya moja kwenye mechi iliyochezwa February 8 2014.
Full Time ya Chelsea vs Newcastle Feb 8 2014
Hii ni kwa wale wanaotaka kujua kila hatua ya matokeo kutoka kwa hawa wakali, vijana wa Mourinho....
Eti hii picha inaonyesha njia pekee salama kiafya kwa mashabiki wa Arsenal kutazama mechi zao
Arsenal wameingia kwenye headlines leo baada ya kupigwa goli 5 - 1 na Liverpool kwenye mechi ambayo nimeshuhudia jinsi ilivyozungumziwa kwenye mitandao ya kijamii na hata wasio mashabiki wa timu…
Unayataka matokeo ya Yanga vs Komorozine leo feb 8 2014? yako hapa
Yani hii nayo ilikua game iliyosubiriwa kwa hamu weekend hii ambapo mpaka mwisho Yanga si wamempiga mtu 7 bila aisee... wafungaji ndio hawa hapa chini kama unavyoona.
Matokeo ya Liverpool vs Arsenal Feb 8 2014, magoli na wafungaji wake
Na haya ndio matokeo ya ile mechi iliwapa watu nafasi ya kuzungumza sana kwenye mitandao ya kijamii