Alichokisema Wema Sepetu kuhusu yule dada anaesemakana kutoka na aliyekua Boyfriend wake.
Wiki kadhaa zimepita sasa tangu kutangazwa kuwa Wema kanyang'anywa kila kitu na mtu anaesemekana kuwa alikua mpenzi wake ambae kwa maelezo inasemekana yeye ndiye aliyenunua vitu hivyo,baada ya hapo zikapita…
Unataka kujua nyimbo zinazosumbua Club kwa sasa?hizi hapa.
Huu ni mtiririko wa nyimbo zinazosumbua kwa sasa kwenye Club mbalimbali ikiwemo New Maisha Club chini ya Extreme Djs,hapa pata nafasi ya kuzifahamu nyimbo hizi. 10.Ya moto- 09.Sugua Gaga-Shaa 08.Number…
“PSG ifungiwe kwa matumizi mabaya ya fedha”.
Matumizi makubwa ya fedha katika usajili ya klabu ya mabingwa wa Ufaransa Paris Saint Germain yameonekana kumtisha mwenyekiti wa mabingwa wa ulaya Bayern Munich Karl-Heinz Rummenigge ambaye ameliambia shirikisho la soka…
Muda huu unaweza kuisoma post hii ya January Makamba kutoka facebook.
Sina hofu ya kupoteza kiti cha Ubunge wala kwenda mahakamani ili
Chris Brown na Miley Cyrus waipa shavu Kenya
Obama, Rupita Nyong'o na wanariadha mbalimbali wameipa jina kubwa Kenya kwenye nchi mbalimbali duniani na kuendelea kujulikana na zaidi. Chris Brown anamiliki clothing line ambayo inaitwa Black Pyramid na ameshatoa…
Kilichosemwa na Basata kuhusu kufungiwa kwa video kadhaa hapa Bongo ikiwemo ya Snura.
Siku kadhaa zilizopita kupitia millardayo.com kuna taarifa zilitoka kuhusu kufungiwa kwa video ya Jux ambayo haijaonyeshwa kwenye TV za Tanzania siku kadhaa tu baada ya kutoka. Stori nyingine ikafata kuhusu…
Unajua Januzaj amesema nini kuhusu malengo yake na Juan Mata?
Ikiwa leo ni siku ambayo anatimiza miaka 19 tangu kuzaliwa kwake, kinda la Manchester United Adnan Januzaj ameongelea malengo yake katika klabu hiyo. Adnan ambaye alianza rasmi kuichezea timu ya kwanza ya Man…
Hizi hapa dakika 16 za kusikiliza magazeti yakisomwa redioni.
Kama kawaida ya millardayo.com ni kuendelea kukuweka karibu tu na kitu ulichokimis kwa bahati mbaya labda pengine kazi zilikubana kwa muda huo,naomba uzipokee hizi dakika 16 usikilize magazeti yakichambuliwa redioni…
Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo February 05 2014
Kila siku hapa millardayo.com huwa naweka magazeti ya siku husika, kuanzia udaku michezo na hardnews nikiamini kwamba wakati mwingine unaweza kuwa mbali na yanakopatikana au yakawa yanachelewa kukufikia asubuhi. Lengo…
Taarifa kuhusu hukumu ya Chris Brown na kesi ya kumshambulia mtu.
Chris Brown akiambatana na girlfriend wake Karrueche Tran pamoja na wakili wake wameingia kwenye chumba cha mahakama huko L.A baada ya ushahidi wa kesi inayomkabili kupitiwa. Kesi hiyo ilikuwa inasema…