CONFIRMED: Huyu ndio staa wa Simba aliyesaini Yanga
Baada ya headlines za muda mrefu kuhusishwa kutaka kuhama klabu ya Simba na kuhitajika na watani wa jadi wa Simba klabu ya Dar es Salaam Young Africans, hatimae leo May…
Kutana na Mrembo Alice kwenye uchambuzi wa Magazeti May 09 2016
AyoTV inakuletea uchambuzi wa magazeti May 09 2016 ambapo mtangazaji leo ni Alice Tupa, miongoni mwa mwa habari zilizochukua headline kwenye magazeti ya Tanzania ni pamoja na hizi.. Sera ya Viwanda…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo May 9 kwenye Udaku, Hardnews na michezo
May 9 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu…
VIDEO: Magoli ya mechi ya Simba vs Mwadui FC May 8 2016, Full Time 0-1
May 8 2016 klabu ya Simba ilicheza mchezo wake wa 27 wa Ligi Kuu Tanzania bara dhidi ya Mwadui FC ya Shinyanga katika uwanja wa Taifa Dar es Salaam, Simba walikubali kipigo…
VIDEO: ‘Hujuma dhidi ya Rais Magufuli ili asiendeleze mageuzi’ Jukwaa Huru la Wazalendo
Leo Mei 8 2016 Jukwaa huru la Wazalendo Tanzania limekutana na Waandishi wa Habari Dodoma ili kutoa tamko lao kuhusu hujuma dhidi ya Rais John Pombe Magufuli. Katibu wa jukwaa hilo…
Makamu wa Rais Samia kapiga STOP kodi zote za biashara zinazowadhalilisha wanawake..
Mei 8 2016 ni siku ya wakinamama Duniani, Tanzania pia imekuwa moja ya nchi iliyofanya maadhimisho hayo, Hapa nakukutanisha na Makamu wa Rais Samia Suluhu ambaye leo alikuwa Dodoma na baada…
PICHA 9: Kutoka Hispania Mtanzania Farid Musa anaendelea poa Deportive Tenerife
Najua watanzania wengi wapo katika matumaini na kumuombea winga mshambuliaji wa Azam FC anayeichezea pia timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars Farid Musa , ambaye kwa sasa yupo Club Deportive…
VideoMPYA: Mabibi na Mabwana ni zamu ya kuiona hii mpya ya msanii wa Ommy Dimpoz
TV zinazidi kupokea video mpya za muziki wa bongofleva ambapo leo May 8 2016 iliyoachiwa ni hii ya msanii kutoka lebo ya PKP ya Ommy Dimpoz aitwae Nedy na single…
Matokeo ya Simba vs Mwadui FC leo May 8 2016 Taifa DSM, yameipa Ubingwa wa Ligi Kuu Yanga
Baada ya klabu ya Yanga kuhitaji point tatu ili itangazwe kuwa Bingwa wa Ligi Kuu Tanzania msimu wa 2015/2016 , May 8 2016 ilikuwa siku ya mchezo kati ya Simba…
Picha14: Shilole alivyoisherehekea siku ya Mama Duniani na Wazee wasiojiweza Mwanza.
Leo May 8, 2016, Ulimwenguni kote tunaadhimisha siku ya Mama Duniani na kila mmoja anaisherehekea hii siku kwa namna yake, wakati wewe ukiwa na Bi mkubwa wako home mnafurahi msaniii…