PICHA 6: Jionee mwanamke aliyejifungua mtoto akiwa na miaka 70
Mama mwenye umri wa miaka 70 nchini India amepata mtoto na mumewe mwenye miaka 79, Daljinder Kaur na mume wake Mohinder Singh Gill wamekuwa katika ndoa kwa miaka 46 lakini…
VIDEO: Wizara ya Afya imewasilisha Bungeni bajeti yake ya Bilioni 845 leo
Mei 11 2016 Bunge la 11 limeendelea Dodoma, Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imewasilisha hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya fedha kwa mwaka…
PICHA 10: Rais Magufuli alivyotua nchini Uganda leo May 11 2016
Leo May 11 2016 Rais Magufuli ameingia tena kwenye headline ambapo taarifa zinasema mapema leo Rais Magufuli ametua nchini Uganda ikiwa ni safari yake ya pili kwenda nje tangu aingie…
Paul Makonda kaongeza siku za bure kupanda Mabasi ya Haraka kwa kila Mwanadareslaam (+Pichaz)
May 11 2016 Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda leo amejumuika na wananchi wa Dar es salaam kuteleza pamoja kwenye usafiri wa mabasi yaendayo haraka kutokea Kariakoo mpaka…
VIDEO: Kituko alichowahi kufanya refa atakayechezesha fainali ya UEFA May 28 2016
Baada ya kumalizika kwa michezo ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya na kushuhudia klabu kutoka mji mmoja Real Madrid na Atletico Madrid zikifanikiwa kufika hatua ya fainali ya…
VideoFUPI: Rais Magufuli yuko nje ya nchi, ikiwa ni safari yake ya pili tangu aingie madarakani
April 2 2016 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jonh Magufuli alifanya safari yake ya kwanza nchini Rwanda tangu aingie madarakani. Leo May 11 2016 Rais Magufuli ameingia tena…
RC Makonda aendeleza oparesheni ya kukamata Sukari, haya ndio yaliyojitokeza leo
May 10 2016 Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda pamoja na mkuu wa wilaya Kinondoni Ally Hapi kukamata mifuko ya sukari ambayo ilikuwa imefichwa kwenye jengo na mmiliki…
Wizara ya Afya imewasilisha bajeti yake ya Bilioni 845
Mei 11 2016 Bunge la 11 limeendelea Dodoma, Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imewasilisha hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya fedha kwa mwaka…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo May 11, 2016 kwenye, Hardnews na michezo
May 11 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
VIDEO: ‘Bilioni 59 za Wanajeshi wetu zimekwenda wapi? nataka leo ujibu’- Halima Mdee kamuuliza Waziri
Mei 10 2016 Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa imewasilisha hotuba yake ya mapitio ya makadirio ya mapato na matumizi ya fedha kwa mwaka 2016/2017 ambayo imesomwa na Waziri…